Thabit Madai
Member
- Oct 8, 2024
- 54
- 140
Habari za Usiku Wana Jamiiforums leo nmekutana na huu Uzi nikaamua niwasogeze wadau ✍👇
Sababu tano za kwanini huenda EX wako anakusimbua. (FOR MEN)
1. Sasa yeye ni mama wa mtoto.
2. Ametumiwa na wanaume kadhaa, na hakuna hata mmoja aliyemjali.
3. Kizazi chake kimeharibiwa, anatafuta mwanaume alie tayari kuelewa hali yake.
4. Anakuona wewe kama mtu dhaifu ambaye utakubali kumrudisha bila kujali.
5. Wewe ni chaguo lake la mwisho.
Kwa sababu mwanamke fulani alikukataa hapo awali, ilikuwa kwa sababu alihisi kuna mtu aliyekuwa bora kuliko wewe, ndio maana akakupa treatment ya namna hiyo.
Kamwe usimrudishe.
Usiingie kwenye retirement plans za mwanamke yeyote, vinginevyo utaadhibiwa vikali.
KUWA MAKINI, AU PUUZA UJIFUNZE KWA KUPITIA MAGUMU.!
Chanzo X - Prospernow
Sababu tano za kwanini huenda EX wako anakusimbua. (FOR MEN)
1. Sasa yeye ni mama wa mtoto.
2. Ametumiwa na wanaume kadhaa, na hakuna hata mmoja aliyemjali.
3. Kizazi chake kimeharibiwa, anatafuta mwanaume alie tayari kuelewa hali yake.
4. Anakuona wewe kama mtu dhaifu ambaye utakubali kumrudisha bila kujali.
5. Wewe ni chaguo lake la mwisho.
Kwa sababu mwanamke fulani alikukataa hapo awali, ilikuwa kwa sababu alihisi kuna mtu aliyekuwa bora kuliko wewe, ndio maana akakupa treatment ya namna hiyo.
Kamwe usimrudishe.
Usiingie kwenye retirement plans za mwanamke yeyote, vinginevyo utaadhibiwa vikali.
KUWA MAKINI, AU PUUZA UJIFUNZE KWA KUPITIA MAGUMU.!
Chanzo X - Prospernow