Kwani wewe ukizeekea kwa wazazi wako wazazi hufurahi au labda wewe ni mgumba?Kitu ambacho wazazi wakiume hufurahia zawadi yao ni mtoto wao mzima si (anidhi) ila mie huwa sipendi kuandika maneno magumu
Asante nini shemeji? Mahari ni dhana inayomlinganisha mwanamke na ng'ombe
Kamwe usiolewe na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Sikuwahi kuona kwenye Biblia mwanaume aliyepewa mke bure.
Tena wengine mnajifanya kupenda sana, unalazimisha kuolewa na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Wengine mnaenda mbali zaidi na kuwasaidia kulipa hizo mahari.
Ukiona umemsaidia kulipa mahari usishangae na huko ndani akakuachia majukumu yote ya familia.
Kama unampenda msaidie mambo mengine lakini ikifika muda wa kulipa mahari hiyo ngoma mwache aicheze mwenyewe, ikimshinda basi huyo hakufai.
Kwanini hakufai??
Hakufai kwa sababu suala la kuoa siyo surprise ni suala la kujiandaa. Kama mchumba ameweza kununua mahitaji yake yote, atashindwaje kukulipia mahari!?!
Binti nakwambia usije thubutu kujifanya unamsaidia mwanaume kulipa mahari, hilo ni lake. Ukimpa mahari ujue umejioa mwenyewe dada.
Na wale vijana mnaolipiwa mahari na wazazi wenu pia siwaelewi jamani. Usije ukashangaa mke anakuwa wa ukoo, wao ndiyo wanamcontrol na hauwezi kufanya jambo bila wao.
Na
Winnie Kilemo
Asante kwa majibu yako, kwanza mie sijapaniki!Kwani wewe ukizeekea kwa wazazi wako wazazi hufurahi au labda wewe ni mgumba?
Hii comment yako inaonesha umepaniki kiasi fulani! Tunaongelea swala la mahari wewe umeingiza swala la uhanithi kana kwamba wasiopenda kulipa hela ukweni ni mahanithi
Mimi nayaelewa vizuri na purity ni kwa wote na si kwa mwanamke pekee.
Mahari lazima mtoe kwa sababu hata wanaume si wasafi!!
Sitetei uchafu Ila naongea kilichopo.
Kitu gani nimeongea nisicho na uhakika nacho?
Yaani hizo hazikwepeki mwingine hataki kuacha,na, hapa nimetoka kusoma leo hii mwingine kamtoa mke roho, yeye kajiumiza hajafa,Ni bora hilo kuliko kukatana mikono na kuchomana moto kwa magunia ya mkaa.
Mahari ni dhana iliyopitwa na wakati, inayomlinganisha mwanamke na ng'ombe.
Mbona hailipwi kwa kina ng'ombe?Asante nini shemeji? Mahari ni dhana inayomlinganisha mwanamke na ng'ombe
Wanadanga na akina nani?Kwa kizazi hichi cha wadangaji. Ukimchukua binti wa watu ukamweka ndani hata mzazi anakushukuru maana umemfichia aibu nyumbani kwakwe. Wanawake wanatumika sana yaani unakuta mwanamke keshatembea na wanaume kama wote, katoa mimba au keshazalishwa. Michezo michafu yote ya ngono anaijua kama vile unaoa kahaba
Mahari ni muhimu na lazima kwa binti aliyejitunza (bikra)
Kusuza marungu ndio kufanyeje?"Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari"
Hii topic itawachanganya sana kwa hiyo waendelee tu kusuuza marungu?
Hangaika kwanza kutafuta mke wa kizungu mtandaoniHauna lolote ww,na usikute hata ndoa yako imekushinda mpuuzi ww
Yaani umetoa definition mwenyewe halafu unaniuliza tena definition hiyohiyo!!!"Mahari ni zawadi au ahsante...." Ushaona wap unapangiwa zawad
Mtoa mada kwani Mahari ni nn?
Nyinyi ndio mnajifananisha na ng'ombe kwa kupenda kununuliwa.Mbona hailipwi kwa kina ng'ombe?
Kama mnaona wanawake ni sawa na ng'ombe Mbona hamuwaoi hao ng'ombe?
Kuchomana Moto ni ushetani wa mtu mwenyewe.Ni bora hilo kuliko kukatana mikono na kuchomana moto kwa magunia ya mkaa.
Maana ya mahari unajua??Nyinyi ndio mnajifananisha na ng'ombe kwa kupenda kununuliwa.
Sasa kama siwezi kuwa na wewe hadi nikulipie utakuwa na tofauti gani na bidhaa?
Na hao wagongaji ndo walipaji mahari wa baadayeMWANAMKE ANAYEPASWA KULIPIWA MAHARI NI BIKRA TU
Asiyeweza kulipia mahari asioe. Ni sawa ila ukumbuke hata wanaolipia mahari wanagongewa na wanaume wasiolipa mahari. Kamuulize Stamina atakupa majibu
Naona anafanya mchezo na kitabu kitakatifuDaa jamani!!!!!
Biblia katu haijawahi kuwa mahari?[emoji3][emoji3]
Nilishawajibu wenzio huko juuTukumbushe kwenye kitabu cha Mwanzo, nipe mstari ambao Adam alimlipia mahari Eva. Je Adam alimuoa Eva? Kama hakumuoa sisi andiko la kufungishana ndoa tuli 'google' wapi? Kama alimuoa, je, mahari alipeleka kwa nani?
Acha kujificha nyuma ya jina "mahari"!Maana ya mahari unajua??
Kama unaona mwanamke na bidhaa ni sawa basi kamlipie bidhaa mahari uioe
Kweli kabisa, ndoa bila mahari haina heshima ni dharau tu.Naona anafanya mchezo na kitabu kitakatifu