Bikra sikuhizi mwisho darasa la nne d basi, na wengi hawana bikra zote na wametolewa mahari vizuri and Wana enjoy ndoa zaoMWANAMKE ANAYEPASWA KULIPIWA MAHARI NI BIKRA TU
Asiyeweza kulipia mahari asioe. Ni sawa ila ukumbuke hata wanaolipia mahari wanagongewa na wanaume wasiolipa mahari. Kamuulize Stamina atakupa majibu
Namshukuru Allah kwa neema ya Uislam.Hizi tamaduni kandamizi sana, halafu hili bado mmelikalia kimya watetezi wa haki za Wanawake. Mwenye jukumu la kutaja Mahari na kupanga mahari ni muolewaji, sababu maana ya Mahari ni kama Zawadi tu.
Ndoa yenye baraka ni ile ambayo mahari yake ilikuwa ni ndogo. Mwanamke ndiyo mwenye haki ya kupanga mahari, na yeye anaweza kumfanyia wepesi yule anaye tarajia kumuoa kwa mapenzi na huruma akamtajia mahari nyepesi sana (Hapa kama ingekuwa una haki ya kupanga mahari, ila sisi huki kwetu suala la Mahari ni la muolewaji). Wapo watu walio oa kwa mahari ya Pete ya Chuma, namaanisha pete ya chuma.
Wapo walio oa kwa mahari thamani ya chini ya laki moja na wengine kitanda au mkufu wa dhahabu. Ndoa jambo sahali sana.
Huu utaratibu unaonaje ? Uko sawa au ? Kwanini isingekuwa wewe unae olewa ndiyo utaje mahari unayo itaka ?
Kwenye Biblia kuna utaratibu gani juu ya Mahari, unaweza kutupa muongozo juu ya utolewaji wa mahari kwa mujibu wa Biblia ?
Kwanini ? Kwa mujibu tamaduni zenu au kwa mujibu wa Biblia ? Kati ya Biblia na Tamaduni kipi unakiangalia sana na kukitanguliza dhidi ya kingine ?
Tusikariri ndoa ni heshima tosha .sio mahari ...mahari ni vile unavoichukulia that why kuna tamadun mwanamke anatoa mahari nyengine mahari hakuna kabisaMahari si mamilioni ya pesa kile mnachopatana ndiyo hicho hicho pia ni heshima kwa wazazi, hivi una binti zako 2, mmoja anatolewa posa mwingine anatolewa tu unazani yupi atapata heshima? Chochote kile kitolewacho ni mahari, usiache kumtolea mkeo mtarajiwa mahari hizo no baraka hata kwa mwenyezi Mungu!
Umesema kweli kabisa.Namshukuru Allah kwa neema ya Uislam.
Kusemq mchele huu kili moja ni shilingi kadhaa hakunaanishi unaweza kuila hiyo hela shikingi kadhaa badala ya mchele.Mbona hailipwi kwa kina ng'ombe?
Kama mnaona wanawake ni sawa na ng'ombe Mbona hamuwaoi hao ng'ombe?
BalaaaSijawahi kuona kwenye Biblia, mtu aliyelipa mahari ana mke mmoja.
Agano jipya linazungumzia habari za yesu.....Baada ya Yesu kuja ni Mwanaume gani alioa mitala?
Yani kwenye agano jipya ni nani alioa mitala?
Mahari ni nini?Kusemq mchele huu kili moja ni shilingi kadhaa hakunaanishi unaweza kuila hiyo hela shikingi kadhaa badala ya mchele.
Kifupi mahari inaufanya utu wa mwanamke uwe na bei.
Ananunuliwa kama mtumwa.
Ananunuliwa kama ng'ombe.
Ni utamaduni uliopitwa na wakati.
Ndiyo maana wanawake wanadharaukika na kupigwa, kutukanwa, kuionekana dhaifu.
Wanaingia kwenye ndoa kwa kununuliwa kama mifugo.
Ni gharama ya kumnunua mwanamke ili awe mkeo katika tamaduni zinazouza wake.Mahari ni nini?
Hiyo ndiyo definition yako ya mahari?Ni gharama ya kumnunua mwanamke ili awe mkeo katika tamaduni zinazouza wake.
Pia ipo katika tamaduni zinazouza wanaume kama India huko, ambako mwanamke analipa mahari kwa familia ya mwanamme.
Kote huko, hiyo ni biashara ya kuuza na kununua watu tu.
Kama ilivyokuwa biashara ya utumwa.
Kwa maana thamani ya mtu inawekewa bei.
Siyo definition yangu.Hiyo ndiyo definition yako ya mahari?
Hiyo definition ndio naisikia kwako leoSiyo definition yangu.
Ndiyo ukweli wenyewe.
Kama una hoja za kubisha, zilete hapa.
Mahari inamfanya mwanamke awe bidhaa yenye bei.
Nikifunguka ninayoyajua, mengi utakuwa ndiyo unayasikia leo.Hiyo definition ndio naisikia kwako leo
Siyo definition yangu.
Ndiyo ukweli wenyewe.
Kama una hoja za kubisha, zilete hapa.
Mahari inamfanya mwanamke awe bidhaa yenye bei.
Funguka nioneNikifunguka ninayoyajua, mengi utakuwa ndiyo unayasikia leo.
I doubt you have heard of the multiverse for example.