Kimsingi hakuna uchaguzi mwaka huu. Kuna uchafuzi tu.Hutaki ya Jecha, mbona umetoa mfano wa mbali hivyo, mwishoni mwaka mwaka jana uchaguzi wa SM ulinajisiwa ulichukua hatua gani? Hivi sasa 1/3 ya wagombea wa upinzani wameenguliwa kihuni, ni hatua gani ww au waliofanya uhuni huo wamechukuliwa?
Mbona mh. Pombe amevuka muda huo wa saa 12 jioni mara kadhaa na hakuitwa na hao policcm?! Tuanzie hapo kwanzaNDIYO, hatutakubali yaliyofanyika kipindi kile cha uchaguzi na Zanzibar ya Jecha
Kwa mjibu wa kanuni za maadili na Sheria za uchaguzi, zinavitaka Vyama Vyote vinavyotoa wagombea Kwa ajili ya kupeperusha bendera za vyama vyao kuomba kuchaguliwa na wananchi katika Nyanja mbalimbali za kiuongozi, Kujaza fomu za kanuni za madili ya uchaguzi kupitia wenyeviti wa Vyama vyao
Maana yake ni nini,
Kwa mjibu wa kanuni hizo, lolote litakalotokea Kwa kusababishwa na mgombea wake, Chama ndio kitaweza kuwajibika katika pande zote kusheria, kabla ya Chama kumwajibisha mgombea wake, Tume itatoa maonyo Kwa mhusika, ikitokea mhusika atapuuza maonyo hayo, basi Vyombo vya ulinzi vinavyohusika na usalama wa raia kitaweza kuchukua utaratibu wake wa kumwita mhusika kujieleza ni Kwa nini anavunja kanuni za uchaguzi na miongozo iliyotolewa na Tume
Chama pia kinawajibu wa kumwajibisha mgombea huyo, ama Chama chenyewe kuwajibishwa na Tume ya uchaguzi au msajili wa vyama Kwa mjibu wa sheria zilizopo
Lakini pia, wagombea wote hutakiwa Kujaza fomu hizo Kwa mjibu wa Sheria na kanuni na madili ya uchaguzi, ili wawapo mahali popote waweze kuzingatia miongozo hiyo,
Mfano mdogo wa kanuni inayovunjwa na ukiachwa huo uvunjifu wa Sheria hiyo inaweza kuhatarisha Amani na pengine uhai wa watu,
Kanuni inayowataka wagombea kuzingatia muda wa kuanza Kampeni na hitimisho lake, sheria inataka, mikutano itaanza saa 2 Asubuhi Hadi saa 12 jioni, kanuni hii wagombea hawaiheshimu hata kidogo, Wapo wanaofanya mikutano Yao Hadi wanawashiana tochi usiku,
Sasa hii, ni kutaka kutafuta Lawama Kwa walinda Amani na kutaka kujiingiza kwenye kuhatarisha maisha ya kiongozi husika
Na Kinachoendelea Kwa Mgombea Uraisi Chama cha Chadema, ni ukaidi tu usipokuwa na maana yoyote, kwani Jeshi la police linalouwezo wa kukiandikia Chama chochote kupitia M/kiti wa hicho Chama kuhusu mwito wa mgombea nafasi yoyote ile, ikizingatiwa kuwa, Chama ndio kinachobeba dhamana ya mtu husika
Kwa kifupi ni kwamba, viongozi wetu wagombea, wawe wa Kwanza kuzisimamia sheria hizo
Hatutaki
ya Ki Jecha, Ila kama kuna shida ambazo zinajitokeza hadharani za uvunjifu wa miongozo ya uchaguzi, ni vyema sasa Tume ikasimamisha Kampeni zote ili kuwepo makubaliano na uchaguzi kusogezwa Mbele, hii ni Kwa manufaa ya Taifa letu huku tukiahakikisha swala la Amani linazidi kutamalaki na tunakuwa na mwisho mwema
Amani Kwanza...... Na baada ya uchaguzi kuna maisha yataendelea
Mtajua wenyewe mnaotegemea kuja kukombolewa na marekani
View attachment 1587898View attachment 1587899
Na we mmarekani utampa nini hadi aje akupiganie wewe keyboard warrior wakati anajua maslahi yake yapo salama hata kwa chama tawala sasa......hio SGR kwani kutoka Moro kuendelea tenda kapewa nani we kubwa jinga?Chuo cha 100b kwa wachina ni nini, wakati wamekosa miradi miwili ya bandari ya bagamoyo na reli ya SGR ya zaidi ya 15t+? Unajua unaoongea nini ww dogo, au unadhani China hii ni ya wajamaa kama zamani?
Na we mmarekani utampa nini hadi aje akupiganie wewe keyboard warrior wakati anajua maslahi yake yapo salama hata kwa chama tawala sasa......hio SGR kwani kutoka Moro kuendelea tenda kapewa nani we kubwa jinga?
Mwambieni Magufuli apeleke malalamiko yake Tume ya Uchaguzi na siyo kutoa maagizo polisi.NDIYO, hatutakubali yaliyofanyika kipindi kile cha uchaguzi na Zanzibar ya Jecha
Kwa mjibu wa kanuni za maadili na Sheria za uchaguzi, zinavitaka Vyama Vyote vinavyotoa wagombea Kwa ajili ya kupeperusha bendera za vyama vyao kuomba kuchaguliwa na wananchi katika Nyanja mbalimbali za kiuongozi, Kujaza fomu za kanuni za madili ya uchaguzi kupitia wenyeviti wa Vyama vyao
Maana yake ni nini,
Kwa mjibu wa kanuni hizo, lolote litakalotokea Kwa kusababishwa na mgombea wake, Chama ndio kitaweza kuwajibika katika pande zote kusheria, kabla ya Chama kumwajibisha mgombea wake, Tume itatoa maonyo Kwa mhusika, ikitokea mhusika atapuuza maonyo hayo, basi Vyombo vya ulinzi vinavyohusika na usalama wa raia kitaweza kuchukua utaratibu wake wa kumwita mhusika kujieleza ni Kwa nini anavunja kanuni za uchaguzi na miongozo iliyotolewa na Tume
Chama pia kinawajibu wa kumwajibisha mgombea huyo, ama Chama chenyewe kuwajibishwa na Tume ya uchaguzi au msajili wa vyama Kwa mjibu wa sheria zilizopo
Lakini pia, wagombea wote hutakiwa Kujaza fomu hizo Kwa mjibu wa Sheria na kanuni na madili ya uchaguzi, ili wawapo mahali popote waweze kuzingatia miongozo hiyo,
Mfano mdogo wa kanuni inayovunjwa na ukiachwa huo uvunjifu wa Sheria hiyo inaweza kuhatarisha Amani na pengine uhai wa watu,
Kanuni inayowataka wagombea kuzingatia muda wa kuanza Kampeni na hitimisho lake, sheria inataka, mikutano itaanza saa 2 Asubuhi Hadi saa 12 jioni, kanuni hii wagombea hawaiheshimu hata kidogo, Wapo wanaofanya mikutano Yao Hadi wanawashiana tochi usiku,
Sasa hii, ni kutaka kutafuta Lawama Kwa walinda Amani na kutaka kujiingiza kwenye kuhatarisha maisha ya kiongozi husika
Na Kinachoendelea Kwa Mgombea Uraisi Chama cha Chadema, ni ukaidi tu usipokuwa na maana yoyote, kwani Jeshi la police linalouwezo wa kukiandikia Chama chochote kupitia M/kiti wa hicho Chama kuhusu mwito wa mgombea nafasi yoyote ile, ikizingatiwa kuwa, Chama ndio kinachobeba dhamana ya mtu husika
Kwa kifupi ni kwamba, viongozi wetu wagombea, wawe wa Kwanza kuzisimamia sheria hizo
Hatutaki
ya Ki Jecha, Ila kama kuna shida ambazo zinajitokeza hadharani za uvunjifu wa miongozo ya uchaguzi, ni vyema sasa Tume ikasimamisha Kampeni zote ili kuwepo makubaliano na uchaguzi kusogezwa Mbele, hii ni Kwa manufaa ya Taifa letu huku tukiahakikisha swala la Amani linazidi kutamalaki na tunakuwa na mwisho mwema
Amani Kwanza...... Na baada ya uchaguzi kuna maisha yataendelea
Subirini kupapaswa tu huku bwana wenu akiishia kutoa povu tuUnajicontradict tu, hebu kaa kimya dogo.
Kweli wewe unafikiri unaweza kufanya mdaharo na kichaa Lissu kweli!!? Please be serious!Hapo ni kama unamsema Magufuli na ccm. Chaguzi zilizopita tulikuwa tunaona midahalo na mijadala mbalimbali hasa wakati wa kampeni. Je sasa hivi toka ameingia Magufuli madarakani, umewahi kuona mjadala au mdahalo wowote kwenye media ukiacha social media ulio balanced? Yote ni kwa sababu rais aliyeko madarakani hayuko tayari kwa challenge, na kama huamini mshauri aende kwenye mdahalo.
Kweli wewe unafikiri unaweza kufanya mdaharo na kichaa Lissu kweli!!? Please be serious!
NDIYO, hatutakubali yaliyofanyika kipindi kile cha uchaguzi na Zanzibar ya Jecha
Kwa mjibu wa kanuni za maadili na Sheria za uchaguzi, zinavitaka Vyama Vyote vinavyotoa wagombea Kwa ajili ya kupeperusha bendera za vyama vyao kuomba kuchaguliwa na wananchi katika Nyanja mbalimbali za kiuongozi, Kujaza fomu za kanuni za madili ya uchaguzi kupitia wenyeviti wa Vyama vyao
Maana yake ni nini,
Kwa mjibu wa kanuni hizo, lolote litakalotokea Kwa kusababishwa na mgombea wake, Chama ndio kitaweza kuwajibika katika pande zote kusheria, kabla ya Chama kumwajibisha mgombea wake, Tume itatoa maonyo Kwa mhusika, ikitokea mhusika atapuuza maonyo hayo, basi Vyombo vya ulinzi vinavyohusika na usalama wa raia kitaweza kuchukua utaratibu wake wa kumwita mhusika kujieleza ni Kwa nini anavunja kanuni za uchaguzi na miongozo iliyotolewa na Tume
Chama pia kinawajibu wa kumwajibisha mgombea huyo, ama Chama chenyewe kuwajibishwa na Tume ya uchaguzi au msajili wa vyama Kwa mjibu wa sheria zilizopo
Lakini pia, wagombea wote hutakiwa Kujaza fomu hizo Kwa mjibu wa Sheria na kanuni na madili ya uchaguzi, ili wawapo mahali popote waweze kuzingatia miongozo hiyo,
Mfano mdogo wa kanuni inayovunjwa na ukiachwa huo uvunjifu wa Sheria hiyo inaweza kuhatarisha Amani na pengine uhai wa watu,
Kanuni inayowataka wagombea kuzingatia muda wa kuanza Kampeni na hitimisho lake, sheria inataka, mikutano itaanza saa 2 Asubuhi Hadi saa 12 jioni, kanuni hii wagombea hawaiheshimu hata kidogo, Wapo wanaofanya mikutano Yao Hadi wanawashiana tochi usiku,
Sasa hii, ni kutaka kutafuta Lawama Kwa walinda Amani na kutaka kujiingiza kwenye kuhatarisha maisha ya kiongozi husika
Na Kinachoendelea Kwa Mgombea Uraisi Chama cha Chadema, ni ukaidi tu usipokuwa na maana yoyote, kwani Jeshi la police linalouwezo wa kukiandikia Chama chochote kupitia M/kiti wa hicho Chama kuhusu mwito wa mgombea nafasi yoyote ile, ikizingatiwa kuwa, Chama ndio kinachobeba dhamana ya mtu husika
Kwa kifupi ni kwamba, viongozi wetu wagombea, wawe wa Kwanza kuzisimamia sheria hizo
Hatutaki
ya Ki Jecha, Ila kama kuna shida ambazo zinajitokeza hadharani za uvunjifu wa miongozo ya uchaguzi, ni vyema sasa Tume ikasimamisha Kampeni zote ili kuwepo makubaliano na uchaguzi kusogezwa Mbele, hii ni Kwa manufaa ya Taifa letu huku tukiahakikisha swala la Amani linazidi kutamalaki na tunakuwa na mwisho mwema
Amani Kwanza...... Na baada ya uchaguzi kuna maisha yataendelea
Haters et alNDIYO, hatutakubali yaliyofanyika kipindi kile cha uchaguzi na Zanzibar ya Jecha
Kwa mjibu wa kanuni za maadili na Sheria za uchaguzi, zinavitaka Vyama Vyote vinavyotoa wagombea Kwa ajili ya kupeperusha bendera za vyama vyao kuomba kuchaguliwa na wananchi katika Nyanja mbalimbali za kiuongozi, Kujaza fomu za kanuni za madili ya uchaguzi kupitia wenyeviti wa Vyama vyao
Maana yake ni nini,
Kwa mjibu wa kanuni hizo, lolote litakalotokea Kwa kusababishwa na mgombea wake, Chama ndio kitaweza kuwajibika katika pande zote kusheria, kabla ya Chama kumwajibisha mgombea wake, Tume itatoa maonyo Kwa mhusika, ikitokea mhusika atapuuza maonyo hayo, basi Vyombo vya ulinzi vinavyohusika na usalama wa raia kitaweza kuchukua utaratibu wake wa kumwita mhusika kujieleza ni Kwa nini anavunja kanuni za uchaguzi na miongozo iliyotolewa na Tume
Chama pia kinawajibu wa kumwajibisha mgombea huyo, ama Chama chenyewe kuwajibishwa na Tume ya uchaguzi au msajili wa vyama Kwa mjibu wa sheria zilizopo
Lakini pia, wagombea wote hutakiwa Kujaza fomu hizo Kwa mjibu wa Sheria na kanuni na madili ya uchaguzi, ili wawapo mahali popote waweze kuzingatia miongozo hiyo,
Mfano mdogo wa kanuni inayovunjwa na ukiachwa huo uvunjifu wa Sheria hiyo inaweza kuhatarisha Amani na pengine uhai wa watu,
Kanuni inayowataka wagombea kuzingatia muda wa kuanza Kampeni na hitimisho lake, sheria inataka, mikutano itaanza saa 2 Asubuhi Hadi saa 12 jioni, kanuni hii wagombea hawaiheshimu hata kidogo, Wapo wanaofanya mikutano Yao Hadi wanawashiana tochi usiku,
Sasa hii, ni kutaka kutafuta Lawama Kwa walinda Amani na kutaka kujiingiza kwenye kuhatarisha maisha ya kiongozi husika
Na Kinachoendelea Kwa Mgombea Uraisi Chama cha Chadema, ni ukaidi tu usipokuwa na maana yoyote, kwani Jeshi la police linalouwezo wa kukiandikia Chama chochote kupitia M/kiti wa hicho Chama kuhusu mwito wa mgombea nafasi yoyote ile, ikizingatiwa kuwa, Chama ndio kinachobeba dhamana ya mtu husika
Kwa kifupi ni kwamba, viongozi wetu wagombea, wawe wa Kwanza kuzisimamia sheria hizo
Hatutaki
ya Ki Jecha, Ila kama kuna shida ambazo zinajitokeza hadharani za uvunjifu wa miongozo ya uchaguzi, ni vyema sasa Tume ikasimamisha Kampeni zote ili kuwepo makubaliano na uchaguzi kusogezwa Mbele, hii ni Kwa manufaa ya Taifa letu huku tukiahakikisha swala la Amani linazidi kutamalaki na tunakuwa na mwisho mwema
Amani Kwanza...... Na baada ya uchaguzi kuna maisha yataendelea