Kamzaba mkewe kibao! kisa?

Dah kwakweli! Wote wamekosa busara, kwa mwanamke kumprovoke mwanaume hasa kwenye masuala ya jinsia ni uzembe wa kufikiria, na mwanaume kutumia nguvu pia hivyo hivyo. All in all inategemea uhusiano wenyewe ukoje lakini kwa mimi binafsi sitokubali kuwa na mwanaume ambaye ni violent, na kwa mwanaume nitayemchagua hatokubali kuwa na mwanamke kiburi mwenye mdomo mchafu.
 
<br />
<br />
Ninavyoelewa mimi huwezi kuwa na wivu wa kike kama huna tabia za kike. Hivyo mtu akikwambia una wivu wa kike anachomaanisha ni kuwa una tabia za kike mojawapo ikiwa ni wivu. Inawezekana jamaa alishawahi kuambiwa kuwa ana tabia fulani fulani za kike.
 
Hiyo red dah kumbe kuna wanaume bado wanadunda wanawake zao?? Mie ukinyoosha mkono tu nafungasha virago huyooo kwa mama yangu

Kwani tatizo liko wapi_kwani si unakwenda kwenu....mbona poa tu
 
Mkuu unaunga mkono domestic violence? utajisikiaje kama aliyebondwa ni dada yako,will you take it?

"sometimes yes_sometimes no"....hakuna njia moja iliyonyooka ya kudeal na changamoto au tatizo
 
Mzee kila ukisema wivu wa kike namkumbuka Mzee mwenzio aliyetuletea msemo huo wa wivu wa kike,Mzee Magamba Msekwa, inaelekea yeye anao kwa sana tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…