Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Okey waiteUnaona je hii siri ya mafanikio yetu tungeenda kuwamegea na wahindi kwa vitendo?
Au unaona je wangekuja huku kabisa tuwatibu? Mbona kina Job waliponea kwao? Hawa nao wanaweza kuponea kwetu.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Kuna mwanangu mmj wiki 2 zilizopita alifia Brazil,mwili ilishindikana kuletwa hku alizikwa huko hukoMbona ni hatari sn asee!
Tunataka na maiti ilete virusi vya India na sisi tujulikane kimataifa .. ndio uzalendo.Tunahitaji mwili uzungushwe tanzania mzima
Mbona ngumu kumesa asee?Kuna mwanangu mmj wiki 2 zilizopita alifia Brazil,mwili ilishindikana kuletwa hku alizikwa huko huko
Ova
Mwili utapelekwa taifaMwili unawasili lini tukauage pale Karimjee.
Kuna dada mmoja muhindi yupo hapo Kenya, familia yake yote imeugua na wao waliweza jua kwamba mdudu kaingia kupitia kwa watoto zao...Tuchukue tahadhari, ugonjwa bado upo
Kwani India wanazika??Kitaratibu mtu akifa nje na ikionekana covid
Huwa wanazika huko huko
Ova
Idadi kubwa wapi mbona Marekani wamekufa laki 5 (500000) na maisha yanasonga.
Jinga sana wewe, unadhani una ujanja kuliko wahindi ambao pamoja na chanjo yao ya covid bado wanakufa sasa wewe kapuku unataka sayansi gani?Hi radi inanyemelea ukishtuka TAYARI
Ujima wa matunguri utatukosti
Kweli Bwana Mama Rais wetu atoe tamko kuhusu korona ile tume yake ya Corona haijatoa majibu? Je ndege za India zinatua hapa? Je wahindi wetu hawa wanaenda India?
Mtetezi wa nyungu Covid dinier aliondoka na mikoba yake.... hata nyungu ni kama haipewi tena promo nowadays; ni as if Covid imeisha duniani.
Jinga sana wewe, unadhani una ujanja kuliko wahindi ambao pamoja na chanjo yao ya covid bado wanakufa sasa wewe kapuku unataka sayansi gani?
Unataka wakuwekee kisiki nyuma ndo ujue kuwa covid bado inauwa hata wale wenye ujuzi kuliko wewe?
Unaweza kuchukua tahadhali kuliko wamalekani au watu wa ulaya?
Mbona badi wanakufa na majopo yote ya kujkinga?
Shukuru umepona kufa kupitia hao wenye matunguli amabao sala zao zimekubeba na wewe upo bado unaishi.
Duuh hatari kubwa hii.Hata watalii toka India bado tunapokea.
Duuh hatari kubwa hii.
Ikibidi majivu tu..Wazike huko huko, hiii aina mpya ya covid 19 toka India ni kali mno, makanjibai wanakufa tu uko
Kuna watanzania piaWazike huko huko, hiii aina mpya ya covid 19 toka India ni kali mno, makanjibai wanakufa tu uko