TANZIA Kanali Mstaafu Solomon Kichonge Mahende Masero Afariki Dunia

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wapendwa,

Kwa masikitiko makubws nawajulisha kuwa umempoteza mpendwa na ndugu Kanali Mstaafu Solomon Kichonge Mahende Masero.

Amefariki ghafla akiwa jijini Dodoma Desemba 13,2022.

Msiba upo Salasala na maziko yatakuwa Tarime.


Ameacha watoto na wajukuu baadhi wakiishi Uholanzi na Ujerumani.
 
Binti yake alisha wahi kua miss CBE miaka ya nyuma.
RIP SOLDIER.
 
dodoma alikuwa kwenye mkutano wa chama ccm.
muwe mnawapumzisha hawa wazee kuwazururulisha.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…