Wakati mwingine watu wanasema kiutani lakini tunaomba kanda ya ziwa wabadilishe tabia zao ambazo si za maendeleo. Utamaduni wa uchawi na ndoa za utototoni zinarudisha sana maendeleo ya sehemu ambayo ina watu wengi, madini, ziwa na nafasi za kulima mazao mengi. Mkienda vijijini waelezeni wazee waache hizi tabia tunataka watoto wa kike wasome na albino wasiogope kuuliwa kwasababu tu wamezaliwa na kilema. Wakati mwingine kusemana si kubaya.
Tanzania. In Tanzania, albinos represent one in every 1429 births, a much higher rate than in any other nation. ... Albinos are especially persecuted in Shinyanga and Mwanza, where witch doctors have promoted a belief in the potential magical and superstitious properties of albinos' body parts
Ndoa utotoni
Shinyanga ukiongoza kwa 59%, ukifuatiwa na Tabora 58%, Mara 55%, Dodoma 51%, Lindi 48%. Mwanza 37%
Tanzania. In Tanzania, albinos represent one in every 1429 births, a much higher rate than in any other nation. ... Albinos are especially persecuted in Shinyanga and Mwanza, where witch doctors have promoted a belief in the potential magical and superstitious properties of albinos' body parts
Ndoa utotoni
Shinyanga ukiongoza kwa 59%, ukifuatiwa na Tabora 58%, Mara 55%, Dodoma 51%, Lindi 48%. Mwanza 37%