Yale matambiko ya kila mwisho wa mwaka yenyewe siyo ndumba, maana naambiwa huwa anachinjwa mbuzi wa tambiko.Huko kaskazini hawaendi kutambika kila mwaka kama unavyosema. Ni kweli kuna mengi ya kubadilika kanda ya ziwa mathalani uchawi. Ni watu wachache mno kanda hii wanafanya kitu bila ndumba, hata awe professa chuo kikuu.
Kwa hiyo 59% ya watoto wote wa mkoa wa shinyanga wameolewa!Kwenye asilimia ni asilimia ya idadi ya watoto wa pale sio asilimia ya Tanzania nzima. Kuonyesha ni idadi gani ya watoto kati ya wote waliopo hizo sehemu wanaolewa utotoni
Watu wa huko hupenda kula nyama hata wakiwa Dar na wakienda nyumbani kwao huchinja mbuzi kama wana uwezo tena ni wachache tu labda kama kuna sherehe. Kanda ya ziwa wanaogopesha utakuta dokta nzima anajipaka masizi mwili mzima na mahirizi amevaa bila hivyo mambo ya watu hawa hayafanikiwi.Yale matambiko ya kila mwisho wa mwaka yenyewe siyo ndumba, maana naambiwa huwa anachinjwa mbuzi wa tambiko.
Linganisha hiyo hapo juu na hii uliyoweka hapa chini.Usiingize watu wengine haya ni mawazo yangu binafsi ukisema “ mnachokifanya” ni kama vile kuna vikao vya siri 😂. Soluhisho langu nasema waache lakini labda watu wa huko wangeweza kusema zaidi.
Msijaribu kukwepa na kuingiza watu wengine kwenye swala hili.
Linganisha hiyo hapo juu na hii uliyoweka hapa chini.
Kama wewe hutoki huko, na unasema "Huo uchawi wa kuuwa albino mimi nitaujuaje", basi huna sababu nyingine ya kuuanzishia mada hapa ila hiyo ya kibaguzi inayokuandama hapa.
Ulipoleta hii mada hapa ulifanya uchunguzi ukajiridhisha kwamba ni sehemu hiyo pekee inayohusika na tatizo hilo? Hujui mahali popote palipo na tatizo kama hilo?
Tunasikitisha kwa kweli, shame on us...Wakati mwingine watu wanasema kiutani lakini tunaomba kanda ya ziwa wabadilishe tabia zao ambazo si za maendeleo. Utamaduni wa uchawi na ndoa za utototoni zinarudisha sana maendeleo ya sehemu ambayo ina watu wengi, madini, ziwa na nafasi za kulima mazao mengi. Mkienda vijijini waelezeni wazee waache hizi tabia tunataka watoto wa kike wasome na albino wasiogope kuuliwa kwasababu tu wamezaliwa na kilema. Wakati mwingine kusemana si kubaya.
Tanzania. In Tanzania, albinos represent one in every 1429 births, a much higher rate than in any other nation. ... Albinos are especially persecuted in Shinyanga and Mwanza, where witch doctors have promoted a belief in the potential magical and superstitious properties of albinos' body parts
Ndoa utotoni
Shinyanga ukiongoza kwa 59%, ukifuatiwa na Tabora 58%, Mara 55%, Dodoma 51%, Lindi 48%. Mwanza 37%
JokaKuu, mimi sina tatizo na haya. Natambua sana uliyoyaweka hapa...suluhisho ni kuboresha mazingira ya shule za wasichano.
..ujenzi wa mabweni ili watoto wasizurure baada ya masomo, na wapate uangalizi wa karibu utakao-improve matokeo yao, ni jambo linalotakiwa kuwa kipaumbele cha WABUNGE wa maeneo hayo.
..bila kuwaonyesha kuwa msichana anafaidika zaidi akiendelea na masomo kuliko kuolewa mapema tutakuwa tunatwanga maji kwenye kinu.
..jambo lingine ni KUHAMASISHA / KUHABARISHA wananchi kuhusu madhara ya ndoa za utotoni na mila nyingine potofu.
..lingine ni kwamba mila potofu haziwezi kumalizwa na OUTSIDERS. kuna tatizo la kuoneana AIBU ktk kupambana na mila potofu.
..Kwa mfano, viongozi wa maeneo husika hawasikiki kukemea mila hizo, badala yake wamewaachia WANAHARAKATI ambao mara nyingi siyo wenyeji wa maeneo yaliyoathirika.
NB.
..wabunge wa kanda ya ziwa kama Joseph Msukuma, Andrew Chenge, Kishimba, Magreth Sitta, ...wanatakiwa wawe mstari wa mbele ktk suala hili. Binafsi sijawahi kuwasikia wakipaza sauti.
Unanihusisha na hayo, unanijua? au katika michango yangu hapa JF umeona popote nilipoyatetea hayo?"mnachokifanya” ni kama vile unaongelea zaidi ya mtu mmoja na hili ndilo nilikuwa naongelea kwamba usiingize wengine. Badilikeni achana na ndoa za utotoni na kuuwa alibino.
JokaKuu, mimi sina tatizo na haya. Natambua sana uliyoyaweka hapa.
Hili la watoto kuolewa sio la eneo hilo tu, tunajua maeneo mengi yenye matatizo kama hayo.
Mila na kuelimisha, vinatumika hata kwenye kupambana na 'ukeketaji'. Haya yote tunayajua, na hayapo eneo moja tu hilo aliloamua mleta hoja kulitwisha mzigo. Sababu na nia inajulikana haijifichi.
Baadhi yetu humu JF hatusomi tu mada hili na mijadala na kuichia ilipofikia, lakini tunajifunza na kuwa na kumbukumbu. Kwa hiyo sio jambo la kukurupukia kusema kwamba mleta mada alilenga sehemu hiyo kwa maksudi mazima.
Mwisho mkuu Joka Kuu, kidogo inasikitisha kwamba taifa letu halionekani kupiga hatua kwenda mbele. Kama jambo la kumwelimisha msichana hadi leo hii ni tatizo baada ya juhudi nyingi zilizokwishafanyika toka huko 1961, ina maana hakuna jambo tunaloweza kufanikisha kama nchi?
Tunaweza kuchimbua historia ya kumbukumbu ya kampeni hizi za kupambana na maswala ya jadi kama haya. Jitihada zimefanyika sana toka huko zamani.
Kwao ni sehemu yoyote ndani ya Tanzania. Hili pekee kama hulijui linaku'expose' unaposimamia wewe.Kuweni na utamaduni wa biashara zaidi, elimu, na kujenga kwenu.
Kwao ni sehemu yoyote ndani ya Tanzania. Hili pekee kama hulijui linaku'expose' unaposimamia wewe.
Najua huwezi kunielewa nasema nini hapa.
Mkoa wa kagera unajuta kuwa katika kanda hii.Huko kaskazini hawaendi kutambika kila mwaka kama unavyosema. Ni kweli kuna mengi ya kubadilika kanda ya ziwa mathalani uchawi. Ni watu wachache mno kanda hii wanafanya kitu bila ndumba, hata awe professa chuo kikuu.
Sijalazimisha tukubaliane, ila uzuri ni kwamba kuna kuelewa kitu kilichokulenga, na hata usipojitangaza kukubaliana nacho hadharani ndani kwa ndani kinakupa ukweli.Sawa najua kuna watu walionielewa vizuri na mimi. Nakushukuru kwa kupenda kuchangia topic zangu sio lazima tukubaliane kwenye maono kwani kila mtu ni tofauti. Mawazo yangu ni binafsi kabisa na hakuna mtu au group lingine linahusika.
Ukweli ni kwamba hakuna watu walio wengi kwenye elimu kama watu wa K'Njaro. Wahaya zaidi imekuwa ni ile kupiga sound; mhaya mmoja akiwa kwenye chuo fulani utajua tu. Lakini wanaweza kuwa wachagga 10 na usijue. Hii ndio maana inaonekana kama vile wahaya ndio waliojaa sana kwenye mashule lakini kuna ukweli wa ndani zaidi. Anyway haimati chochote ndugu yangu, wahaya nawakubali wanapenda sana elimu na wanaweza kumudu masuala ya elimu na wanafanikiwa sana kwenye hilo na wapo wengi tu mashuleni.Mkoa wa kagera unajuta kuwa katika kanda hii.
Maana kila kitu na chuki za hapa na pale inahusishwa .
Sidhani kama kuna mkoa wenye wasomi wengi kama kagera nchii hii .sasa sijui unaposema maprofesor wa kanda ya ziwa wanatumia ndumba sijui unamaanisha wa wap
NB. 85%ya wakazi wa kagera ni wakatoliki wazr sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nyumbu kanda ya ziwa umeijenga wewe ? Kweli bangi mbayaHizo namba hazifanganyi niiteni chochote nitasimama kwa ukweli tu. Napinga ndoa za utotoni, kuua alibino kwa mila za kichawi na unyanyasaji mkubwa wa wanawake unaoendelea. Kama wewe hauko kwenye hilo kundi badala ya kutaa ukweli jitahidi kupigania haki za ndugu zenu. Haya yote ni kwa maendeleo ya nchi. Kuna vipaji vingi sana vya watoto wetu vinapotea kwa tamaa za wanaume na utamaduni mbaya wa ndoa za utotoni. Kanda ya ziwa kwasababu wana watu wengi ni ngumu kupunguza tatizo bila kupinguza hili tatizo kanda yetu ya ziwa. Kuweni na utamaduni wa biashara zaidi, elimu, na kujenga kwenu.
Wakati mwingine watu wanasema kiutani lakini tunaomba kanda ya ziwa wabadilishe tabia zao ambazo si za maendeleo. Utamaduni wa uchawi na ndoa za utototoni zinarudisha sana maendeleo ya sehemu ambayo ina watu wengi, madini, ziwa na nafasi za kulima mazao mengi. Mkienda vijijini waelezeni wazee waache hizi tabia tunataka watoto wa kike wasome na albino wasiogope kuuliwa kwasababu tu wamezaliwa na kilema. Wakati mwingine kusemana si kubaya.
Tanzania. In Tanzania, albinos represent one in every 1429 births, a much higher rate than in any other nation. ... Albinos are especially persecuted in Shinyanga and Mwanza, where witch doctors have promoted a belief in the potential magical and superstitious properties of albinos' body parts
Ndoa utotoni
Shinyanga ukiongoza kwa 59%, ukifuatiwa na Tabora 58%, Mara 55%, Dodoma 51%, Lindi 48%. Mwanza 37%
Kwakuwa wamegusa kwenu eeHuu ni ukabila!.
P
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Watu wa huko hupenda kula nyama hata wakiwa Dar na wakienda nyumbani kwao huchinja mbuzi kama wana uwezo tena ni wachache tu labda kama kuna sherehe. Kanda ya ziwa wanaogopesha utakuta dokta nzima anajipaka masizi mwili mzima na mahirizi amevaa bila hivyo mambo ya watu hawa hayafanikiwi.
Nishakwambia Kagera haiwezi kufikia Kilimanjaro kwa wasomi hâtaMkoa wa kagera unajuta kuwa katika kanda hii.
Maana kila kitu na chuki za hapa na pale inahusishwa .
Sidhani kama kuna mkoa wenye wasomi wengi kama kagera nchii hii .sasa sijui unaposema maprofesor wa kanda ya ziwa wanatumia ndumba sijui unamaanisha wa wap
NB. 85%ya wakazi wa kagera ni wakatoliki wazr sana
Sent using Jamii Forums mobile app