The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Shida ni kwamba Mbowe anamchafua mtu muhimu Sana JPM sasa Bora tubaki CCM tuKwa lugha ya harakaharaka Kanda ya ziwa imekuwa ikitumiwa na CCM Kama kete ya mwisho kuivusha baada ya maovu yote.
Bahati mbaya sana hawa wavushaji hawathaminiwi. Wanatumiwa kama condom, Uchaguzi ukiisha mambo yanaanza yaleyale.
Bila Magufuli 2015 CCM ilikuwa inaaga mashindano, hata baada ya kuteuliwa wakamtenda, maana wahuni walikuwa wameshakamilisha azima yao.
Kanda ya ziwa amkeni ifike wakati mseme hapana mnatumika vibaya sana na CCM.
OVA
Hao Kanda ya ziwa ni wengi, lakini sio wingi unaowabeba ccm. Kwenye uchaguzi huru ccm haina uhakika Wala uwezo wa kupata zaidi ya 50%. Ccm ingekuwa na uhakika wa kushinda Kanda za ya ziwa kwa kura halali, tusingekuwa tunaona uhayawani wa wazi kwenye chaguzi zetu.Kwa lugha ya harakaharaka Kanda ya ziwa imekuwa ikitumiwa na CCM Kama kete ya mwisho kuivusha baada ya maovu yote.
Bahati mbaya sana hawa wavushaji hawathaminiwi. Wanatumiwa kama condom, Uchaguzi ukiisha mambo yanaanza yaleyale.
Bila Magufuli 2015 CCM ilikuwa inaaga mashindano, hata baada ya kuteuliwa wakamtenda, maana wahuni walikuwa wameshakamilisha azima yao.
Kanda ya ziwa amkeni ifike wakati mseme hapana mnatumika vibaya sana na CCM.
OVA
Magufuli hakuwa muhimu hivyo huko Kanda ya ziwa, angekuwa na nguvu hiyo huko kanda ya ziwa tusingeona uchaguzi wa kipuuzi kama wa 2020. Kwa taarifa yako hata akiwa mbunge hakuwa na historia ya kushinda kihalali huko Chato. Fuatilia historia yake ya miaka 20 kama mbunge, ni mara ngapi alishinda kwa kura bila zengwe? Achana na propaganda zake.Shida ni kwamba Mbowe anamchafua mtu muhimu Sana JPM sasa Bora tubaki CCM tu
Ndiyo Tabia ya CCM ya pwani hiyoKwakweli !! Hata uchaguzi wa kwanza 1995 kama isingekuwa uhodari wa watu wa kutoka kanda ya ziwa kuzipangua hoja za Mrema na kisha kuwapa mikakati ya kushinda uchaguzi !
Ccm ilikuwa bye bye !
Lakini baadaye wale waliosimama imara kutoka hiyo kanda wakatupwa kama Condom na kudhalilishwa juu !!
Siku zaja hawatashawishikaBila tume huru hakuna namna, kanda ya ziwa wengi hawaitaki CCM hata kidogo
Hakuna lolote mpaka tubadili mfumoSiku zaja hawatashawishika
Dikteta ni Dikteta tuu,kaburi lake linapaswa kuwekwa pingu kubwa juu yake.Shida ni kwamba Mbowe anamchafua mtu muhimu Sana JPM sasa Bora tubaki CCM tu
Magufuli hakuwa muhimu hivyo huko Kanda ya ziwa, angekuwa na nguvu hiyo huko kanda ya ziwa tusingeona uchaguzi wa kipuuzi kama wa 2020. Kwa taarifa yako hata akiwa mbunge hakuwa na historia ya kushinda kihalali huko Chato. Fuatilia historia yake ya miaka 20 kama mbunge, ni mara ngapi alishinda kwa kura bila zengwe? Achana na propaganda zake.
Hao Kanda ya ziwa ni wengi, lakini sio wingi unaowabeba ccm. Kwenye uchaguzi huru ccm haina uhakika Wala uwezo wa kupata zaidi ya 50%. Ccm ingekuwa na uhakika wa kushinda Kanda za ya ziwa kwa kura halali, tusingekuwa tunaona uhayawani wa wazi kwenye chaguzi zetu.
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza !!Siku zaja hawatashawishika