Kanda ya ziwa is a natural political, social, cultural, geographical and economically wa kanda ya kaskazini

Kanda ya ziwa is a natural political, social, cultural, geographical and economically wa kanda ya kaskazini

z12f

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2017
Posts
704
Reaction score
572
Nyerere alijua hili lakini alikua mbishi au alizuga. Na huyu moyoni anajua kuwa kanda ya ziwa is a natural ally wa kanda ya kaskazini. Sema issue ni political power, vyama vya kisiasa, ambition, ukanda upi uwe senior partner wa mwenzake, au nani anajiona bora kuliko mwenzake.

Nyerere alipokuwa desperate during the late 1970s and early 1980s, especially wakati wa vita vya Uganda, serikali yake na majeshi yake ya ulinzi na usalama yalikua yamejaa watu wake wa Mara pamoja na hao watu wa kaskazini. Kutoka Kaskazini, kulikua na makamanda Kiwelu, Muhidin Kimario, Imran Kombe, Kanali Msuya, Kanali Mkindi, Waziri Mkuu Sokoine, waziri wa fedha Mtei, mawaziri msuya, mramba, namfua etc. Kulikuwa na mapolisi vile vile na magereza, na civil servants wengi kutoka kanda ya kaskazini.

So Nyerere alijua during desperate times who should he trust and who would be loyal, competent and reliable.

Tofauti ya Nyerere na wakati huu, ni kwamba wasukuma ni wengi sana kuliko watu wa Mara. So kuna uwezekano wa sasa hivi kuwa na politically workable alliances na kanda nyingine na sio kanda ya kaskazini.

One issue ni kwamba some times viongozi wa hizo kanda nyingine wana weza kufeel indispensable kwenye alliance yao na kanda ya ziwa. So ukifika muda viongozi wa hizo kanda nyingine wanakuwa recycled ili wasiwe ambitious, ego zao huumia kidogo.

Baadhi ya hizo kanda nyingine zina amini kwamba zimesubiri muda mrefu toka uhuru na hazijapata nafasi ya urais.

Hizi factors zinaweza kuilazimisha kanda ya ziwa kwenye miaka yake ya mwisho kuhisi kwamba hai ziamini hizo kanda nyingine. Labda itaziamini kanda ambazo watatoka rais na waziri mkuu wajao wa awamu ya sita (makamu wa rais nadhani atatoka zanzibar). Kwasababu kanda hizo zitakuwa tiifu kwa kuwa zitapata nafasi nzuri.
 
Nyerere alijua hili lakini alikua mbishi au alizuga. Na huyu moyoni anajua kuwa kanda ya ziwa is a natural ally wa kanda ya kaskazini. Sema issue ni political power, vyama vya kisiasa, ambition, ukanda upi uwe senior partner wa mwenzake, au nani anajiona bora kuliko mwenzake.

Nyerere alipokuwa desperate during the late 1970s and early 1980s, especially wakati wa vita vya Uganda, serikali yake na majeshi yake ya ulinzi na usalama yalikua yamejaa watu wake wa Mara pamoja na hao watu wa kaskazini. Kutoka Kaskazini, kulikua na makamanda Kiwelu, Muhidin Kimario, Imran Kombe, Kanali Msuya, Kanali Mkindi, Waziri Mkuu Sokoine, waziri wa fedha Mtei, mawaziri msuya, mramba, namfua etc. Kulikuwa na mapolisi vile vile na magereza, na civil servants wengi kutoka kanda ya kaskazini.

So Nyerere alijua during desperate times who should he trust and who would be loyal, competent and reliable.

Tofauti ya Nyerere na wakati huu, ni kwamba wasukuma ni wengi sana kuliko watu wa Mara. So kuna uwezekano wa sasa hivi kuwa na politically workable alliances na kanda nyingine na sio kanda ya kaskazini.

One issue ni kwamba some times viongozi wa hizo kanda nyingine wana weza kufeel indispensable kwenye alliance yao na kanda ya ziwa. So ukifika muda viongozi wa hizo kanda nyingine wanakuwa recycled ili wasiwe ambitious, ego zao huumia kidogo.

Baadhi ya hizo kanda nyingine zina amini kwamba zimesubiri muda mrefu toka uhuru na hazijapata nafasi ya urais.

Hizi factors zinaweza kuilazimisha kanda ya ziwa kwenye miaka yake ya mwisho kuhisi kwamba hai ziamini hizo kanda nyingine. Labda itaziamini kanda ambazo watatoka rais na waziri mkuu wajao wa awamu ya sita (makamu wa rais nadhani atatoka zanzibar). Kwasababu kanda hizo zitakuwa tiifu kwa kuwa zitapata nafasi nzuri.
Wewe ni mkabila sana!
 
waskazini mna kazi sana. ama kweli la kuvunda halina ubani, hilo chama limevunda halisafishiki
 
z12f unataka kusema siku zijazo hakuna kiongozi atakayeshinda bila ya Kanda ya ziwa kukubali? Halafu hao watu wa Kanda ya ziwa watu wa Mara nao hawamo?

Unataka kusema Nyerere ndiye aliyewaingiza wachaga na watu wa Mara Jeshini ama aliwakuta?
 
Awamu ya sita kama Rais atatoka CCM basi atakua ni Wa kaskazini na Pwani ,January Yusuf Makamba.

Kama Ni Chadema atakua ni Tundu Antipus Lisu.
Kama ni ACT atakua ni Zito Zuberi Kabwe .

Hao ndio tunaowataka wawanie uongozi wa awamu ya Sita.
Kazi na Bata.
Japo Lisu atakua na msimamo mkali zaidi lakini atajenga usawa kupitia Katiba na kirudisha mamlaka kwa wananchi ambao ni walipa Kodi.
Wakati huo JPM atakua ni Mstaafu atakayeheshimika sana mana atatuachia katiba bora kabisa na atakua ameufyekelea mbali ufisadi kwenye nchi yetu na atakayekua amejilimbikizia Mali kwa rushwa atakutana na Mkono wa ama Lisu au Zito au Makamba.

Bila Upinzani imara CCM itakua ligelege.
Ulegelege wa CCM ni pamoja na tabia ya kushinda kwa mbinu za ukabila na ukanda .



Sent using Jamii Forums mobile app
 
z12f unataka kusema siku zijazo hakuna kiongozi atakayeshinda bila ya Kanda ya ziwa kukubali? Halafu hao watu wa Kanda ya ziwa watu wa Mara nao hawamo?

Unataka kusema Nyerere ndiye aliyewaingiza wachaga na watu wa Mara Jeshini ama aliwakuta?

Haya maswali yanahitaji majibu yaliyo tayarishwa vizuri. Kanda ya ziwa ina semi-veto kwenye kura za urais, haina full veto. Kanda zilizobakia hazina full veto wala semi-veto.

Mara ni sehemu ya kanda ya ziwa. Lakini for one reason or another Nyerere ali wafungia speed governor wanasiasa Wakinyamwezi na kisukuma (na probably wakihaya).

Ni kweli Nyerere aliwakuta wachagga na wakurya jeshini. Wachagga kwenye jeshi la Nyerere walikuwa na ups and downs zao. Wakati wa vita vya Uganda, Nyerere alipokuwa desperate ilibidi awa amini na kuwapa nafasi za uongozi jeshini. Kabla ya kipindi hichi, kina Sarakikya (Mmeru) na wachagga (wengi wakiwa wamachame na wakibong’oto) walipandishwa na baadae kupunguzwa jeshini.

Hii concept ya kuamini unaweza ukaiangalia hivi; kwa mfano, Serikali ina nunua military equipment zenye thamani ya USD 100 million (in 1979 US Dollars). Military strategy inahitaji kamanda raia, loyal na competent wa kwenda na hiyo equipment pamoja na maelfu ya maaskari kwenda nao Rwanda halafu kuingia Uganda. Hiyo equipment ikipotea au hao askari kufa ni pigo kubwa sana. So ana wachagua makamanda anaodhani ni loyal and competent.
 
Wewe ni mkabila sana!
Lengo la hii thread ni kusema kwamba hakuna uadui natural baina ya kanda ya ziwa na kanda ya kaskazini. Na sio kupromote ukabila.
 
Hueleweki.

He he he. Hapa najaribu kurekebisha baadhi ya falsafa potofu ambazo baadhi ya watu wanaziamini kisiri siri mioyoni mwao, lakini hawa zitaji hadharani.
 
Back
Top Bottom