dongbei
Senior Member
- Jan 18, 2013
- 158
- 147
Salaam wakuu,
Nahitaji Kanga MWEUPE kwa ajili ya kufuga. Nahitaji zaidi dume, ikishindikana hata jike ni sawa pia. Mimi ninafuga kanga wa madoa hivyo nahitaji kuchanganya na weupe pia. Ndiyo maana nahitaji mmoja tu ili nipate mbegu.
Kama uko naye tuwasiliane hapa au PM kwa namba za simu. Pia kama upo Arusha na maeneo ya jirani ni vizuri zaidi japo siyo lazima.
Ukieleza bei yako mi vizuri zaidi.
Nahitaji Kanga MWEUPE kwa ajili ya kufuga. Nahitaji zaidi dume, ikishindikana hata jike ni sawa pia. Mimi ninafuga kanga wa madoa hivyo nahitaji kuchanganya na weupe pia. Ndiyo maana nahitaji mmoja tu ili nipate mbegu.
Kama uko naye tuwasiliane hapa au PM kwa namba za simu. Pia kama upo Arusha na maeneo ya jirani ni vizuri zaidi japo siyo lazima.
Ukieleza bei yako mi vizuri zaidi.