Unayo nayahitaji !Uko wapi n8kuletee mayai?
Usikute Mshana amekwambia ndo siri ya Utajiri Mjini,....Nahitaji Kanga MWEUPE
Uko wapi nikupitushie?Unayo nayahitaji
upo apa mjini au mkoani mkuu,bei ya hao wa miezi 4 ni shilingi 27000,wa mwezi mmoja 7000 nauza kuanzia 10 kwenda juuKama unao wa miezi 4- 5 karibu PM tuyajenge mkuu.
Asante, sihitaji wengi hivyo. Wawili tu wananitosha, ninao kanga wengi tu ila weupe waliisha. Nataka kurudisha mbegu yao. Niko Arusha.upo apa mjini au mkoani mkuu,bei ya hao wa miezi 4 ni shilingi 27000,wa mwezi mmoja 7000 nauza kuanzia 10 kwenda juu
okAsante, sihitaji wengi hivyo. Wawili tu wananitosha, ninao kanga wengi tu ila weupe waliisha. Nataka kurudisha mbegu yao. Niko Arusha.