~ Kanga zina Mambo Mengi ~


Malaria kwishneee:dance:
 
ningekuwa hivi wangenikoma

Pole marytina, unatakiwa ujivunie jinsi ulivyo, kwani wewe ukoje!!!!!!!!!! Jipende tu vile ulivyo kwani kuna wengine pia wanatamani wengekuwa kama wewe.
 
kanga inapoangushwa chumbani kwa "bahati mbaya"... mwisho wake ni vurugu tu...
 
Nakumbuka moja niliwahi kusoma zamani "Umeyataka Mwenyewe"..

Sasa hadi leo sijui ujumbe huo ulikuwa unamhusu nani, kwanini na kwa vipi. Nilitaka hata kuuliza "imekuwaje"? Kwa kweli kanga nyingine huacha maswali bila kujibu wala kujaribu kujibu.

TM umepotea saaaaaaana assante kwa hii ya kuunga mkono ile. Ngoja tusubiri Khangaologists waje kutupa elimu hapa.
 
Mkuu mwanakijiji, fani yako ni kucheza na mameno tena kwa kalamu so jitahid ujikite ktk uandishi rasmi kaka!
 
Mwanakijiji kweli we ni mtata, maana duh! ila ndo wazee mlobakia cku hizi.
 
nimependa shairi,kanga na mvaaji mwenyewe
sikujua zinamaana kiiiiiiivyo,
kumbe kuna haja yakuacha japo kipande kila unakopitia

Kila unapopita?! ajabu kweli kweli!
 

Mkuu ebu nijuze, bado sijaijua kanga
Kanga naona kitenge, nini ni siri ya kanga?
Kanga nipewe kipande, nguo gani nitashona?
Kanga yafaa kitenge, hata shati utashona

kanga ya nini mkuu, nikipewa niitunze!
kitenge bado kigumu, kanga bora ya kitenge
kanga na wepesi huu, haidumu kama tenge
Kanga yafaa kitenge, bora utashona sare.

Kanga nilipewa pwani, hakika sikuitunza
kanga ina siri gani, Bara hatujui kanga
Mkuu niweke wazi, nini ni siri ya kanga?
Kanga yafaa kitenge, kwa gauni lashoneka.
 
Hivi haya kama siyo kunitia majaribuni ni nini sasa????????????

 
Na nyie mkome na mananiiii yenu yacyo na hekima. Mbna magaguro na vipens vyenu vyenye mabao kibao amviweki hadharan. Hamna lolote mmekosa 2 pa kutuliza hyo michebwengo yenu. Mwatiana hashki 2.
 
Na nyie mkome na mananiiii yenu yacyo na hekima. Mbna magaguro na vipens vyenu vyenye mabao kibao amviweki hadharan. Hamna lolote mmekosa 2 pa kutuliza hyo michebwengo yenu. Mwatiana hashki 2.
He!! Vipi kwani........hupendi kanga inavyopewa sifa??
 
Nani zaidi kati ya 'Khanga moko ndembendembe - lakhi si pesa' na 'Kitu T'?

 
Utaipenda kanga
ila wanawake wengine bana wana tutega kwahiyo kanga.
 
nimependa shairi,kanga na mvaaji mwenyewe
sikujua zinamaana kiiiiiiivyo,
kumbe kuna haja yakuacha japo kipande kila unakopitia


IShhhhhhhhh.....OOhhh ....... Ahhhhhh..Mhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…