habari! jaman wanandugu mie nilikuwa na boyfrnd wangu 2lipendana sana akanitambulisha kwao na mwakan ilikuwa tufunge ndoa, sasa kuna siku tulikorofishana nikamjibu hovyo sana later nikamwomba msamaha akasamehe 2kawa happy siku moja usiku alnitxt akiniambia how much anafuraha coz anauhakika mimi ninampenda, kesho yake akaninunia hapokei simu wala sms mwisho akanipa kibut akidai hakunisamehe kosa lile la kumjib vbaya, nampenda sana sana naomba ushauri
mh, hapo alikuwa anakutaftia sababu! mlikuwa mmeshapanga ndoa na umemuudhi tu akakubwaga? stuka!
Ni pm nikupe ushauri neyl ... Usiteseke wakati nipo .
mh, hapo alikuwa anakutaftia sababu! mlikuwa mmeshapanga ndoa na umemuudhi tu akakubwaga? stuka!