Adrian Stepp
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 2,764
- 2,591
mna umri gani???????
habari! jaman wanandugu mie nilikuwa na boyfrnd wangu 2lipendana sana akanitambulisha kwao na mwakan ilikuwa tufunge ndoa, sasa kuna siku tulikorofishana nikamjibu hovyo sana later nikamwomba msamaha akasamehe 2kawa happy siku moja usiku alnitxt akiniambia how much anafuraha coz anauhakika mimi ninampenda, kesho yake akaninunia hapokei simu wala sms mwisho akanipa kibut akidai hakunisamehe kosa lile la kumjib vbaya, nampenda sana sana naomba ushauri
Sio jibu la busara hili!Kumbe ulimtukana? Acha wenzio wajinafasi nae.
Fataki at work
alafu mie nawambie nyie wanawake muwe mwatupa mizigo bila commitment za kijinga nyie mwanaleta oh u cnt just use us...sasa ona jamaa kala mzigo na pia kakakupa false promise na siajabu ulianza tangaza kuwa utaolewa sasa uso utaficha wapi...loh!!!
ebwana weee...kumbe ni kweli kuwa true character ujitokeza wakati wa majibizano...aibu!!! sasa mwana mzigo kala na sasa ndio anasepa kilaini.....