EDIGAR JO
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 422
- 444
Hivi hata kama lugha za kuagana kimasihara sizijui hivi ndio kweli ananiacha hivi hivi au?🙄
Jamani kuwa na 24'yrs kwa mwanaume aliyekamilika sidhani kama ni ajabu kuwa namahusiano japo kidini haipo hivyo, siyo?
Sasa mimi ni mkristo safi kabisa mwenye mawaa kwa Mungu tu🙌. Sasa haka katoto kamenichimba biti, kwamba baada ya mfungo huu mtukufu yeye hatokuja nyumbani na kuonana ni majariwa, hivi nikasaidiaje wapendwa?
Jamani kuwa na 24'yrs kwa mwanaume aliyekamilika sidhani kama ni ajabu kuwa namahusiano japo kidini haipo hivyo, siyo?
Sasa mimi ni mkristo safi kabisa mwenye mawaa kwa Mungu tu🙌. Sasa haka katoto kamenichimba biti, kwamba baada ya mfungo huu mtukufu yeye hatokuja nyumbani na kuonana ni majariwa, hivi nikasaidiaje wapendwa?