ushasema alikudanganya, hiyo nia sio nzuri. Ingekuwa utani labda tungesema walau kuna kaukweli ka statimenti yake, lakini kwenye uongo?????????????[/QUOTE UNAEZA DANGANYA KWA LENGO ZURI
Sikuwepo muda flani hapa Jamvini kwa amani ya Bwana naamini wote hatujambo.
Uongo katika mapenzi ni vitu ambavo haviepukiki for tunajifunza about our lovers sometimes thrue lying.... Ila tu huo uongo usiwe ni wa kumuumiza mpenzi wako na wala usiwe ni wa kudumu... in the sense vitu vya kudanganya ni vile ambavo sio msingi saaana katika mahusiano - in other words yaani hata mwenzio hakitambua haiwezi kumuumiza. Naamini ukimpenda saana mpenzi wako hutaki aumie, hivo hutufanya sometimes kumuepusha hayo machungu udanganye walau ili tu awe na hali nzuri emotionally hasa kama unafahamu kua ni dhaifu...
Tukija katika suala lako... kama mkeo alikudanganya mara ya kwanza na saizi kaamua kukwambia ukweli - ni dhahiri kua alikua hana nia mbaya kama alivo jieleza... Mistake alofanya ni kukuambia kua alikudanganya it is better angekuambia kua sasa ndio umepanda. She seems to be a good wife labda tu anapima kua nguvu ya mumewe inafikia wapi hasa katika challenges.... Na kwa kweli in most cases uki lie kwa mpenzi wako inakua ni kwa nia nzuri - ili mradi huo uongo usizidi kipimo wala sio wa kuumiza.
Naweza onekana kama nafagilia uongo but trust me kuna situations you can just no tell the truth to your loved ones thou msingi mkubwa wa mahusiano ni Trust. Na ndio maana kama your love ones ana demand ukweli wa kitu ambacho kiko critical na haitajiki udanganye... it is beta kupotezea kuliko kudanganya - hapo unaharibu kila kitu!
Uongo katika mapenzi ni vitu ambavo haviepukiki for tunajifunza about our lovers sometimes thrue lying.... Ila tu huo uongo usiwe ni wa kumuumiza mpenzi wako na wala usiwe ni wa kudumu... in the sense vitu vya kudanganya ni vile ambavo sio msingi saaana katika mahusiano - in other words yaani hata mwenzio hakitambua haiwezi kumuumiza. Naamini ukimpenda saana mpenzi wako hutaki aumie, hivo hutufanya sometimes kumuepusha hayo machungu udanganye walau ili tu awe na hali nzuri emotionally hasa kama unafahamu kua ni dhaifu...
Tukija katika suala lako... kama mkeo alikudanganya mara ya kwanza na saizi kaamua kukwambia ukweli - ni dhahiri kua alikua hana nia mbaya kama alivo jieleza... Mistake alofanya ni kukuambia kua alikudanganya it is better angekuambia kua sasa ndio umepanda. She seems to be a good wife labda tu anapima kua nguvu ya mumewe inafikia wapi hasa katika challenges.... Na kwa kweli in most cases uki lie kwa mpenzi wako inakua ni kwa nia nzuri - ili mradi huo uongo usizidi kipimo wala sio wa kuumiza.
Naweza onekana kama nafagilia uongo but trust me kuna situations you can just no tell the truth to your loved ones thou msingi mkubwa wa mahusiano ni Trust. Na ndio maana kama your love ones ana demand ukweli wa kitu ambacho kiko critical na haitajiki udanganye... it is beta kupotezea kuliko kudanganya - hapo unaharibu kila kitu!
Aisha.only the truth can set you free...............hakuna mushkeli au utata kwenye hilo..............................hakuna exceptions..................once a liar ALWAYS a liar..................................kama mtu huwezi kumwamini kwenye mambo hayo unayoyaita ni madogo je makubwa si itakuwa pata mshike tu........Once a winker always a winker...........
<br />amani ya Bwana yupi hana jina?????????
Adi ni kwel usemayo smtym unalazimika kudanganya ili ju kumpunguzia mwenzio maumivu coz hata mm naamin kama mtu unampenda hutataka aumie.
Waislam mtume alisema kuna ruhusa tatu za kusema uongo ambazo zimeruhusiwa.
1. Sikumbuki.
2. Uongo wa mume kwa mkewe au mke kwa mumewe kwa lengo la kudumisha ndoa
3. Uongo katk usuluhishi/kupatanisha watu.
Naomba anaekumbuka namba moja anikumbushe.
My take.
Uongo usidi kipimo. na unatakiwa udanganye pale tu inapolazimu tena kwa misingi hiyo iliyoruhusiwa.
Stay blessed ADii
<br /><br />Innocent misstatement ahh
Unfortunately i am pressed with time... will get back to this way back later....
We Ruta wewe! Mbona mkali hivo jamani...?
There are currently 14 users browsing this thread. (5 members and 9 guests)