Kaniita kwake mkoani nimefika amenichunia

Kaniita kwake mkoani nimefika amenichunia

Tripp

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2018
Posts
898
Reaction score
1,545
Habarini,

Mwezi huu mwanzoni nilienda msibani Singida nikiwa uko nikamaliza kuzika kuna mdada nilikuwa naishi nae Dar akaenda Morogoro kwake kuishi na kutafuta maisha basi ikapita muda mpaka mwezi huu akaniomba niende kwake Moro na tulikuwa na mawasiliano mazuri tangu aondoke Dar sababu alienda kutafuta maisha.

Basi nilivyozika nikapanda basi kuelekea Moro nikafika nikapanda kwenda Kilombero nikafika nikapokelewa vizuri ila kuanzia usiku akabadiliki haongei wala nini analala uchi hata mchana ila hataki nimguse nikawa natoa hela za chakula ila sipewi chochote zaidi ya msosi siku ya 4 nikaaga nikaondoka zangu mpaka sasa sielewi.
 
Habarini,

Mwezi huu mwanzoni nilienda msibani Singida nikiwa uko nikamaliza kuzika kuna mdada nilikuwa naishi nae Dar akaenda Morogoro kwake kuishi na kutafuta maisha basi ikapita muda mpaka mwezi huu akaniomba niende kwake Moro na tulikuwa na mawasiliano mazuri tangu aondoke Dar sababu alienda kutafuta maisha.

Basi nilivyozika nikapanda basi kuelekea Moro nikafika nikapanda kwenda Kilombero nikafika nikapokelewa vizuri ila kuanzia usiku akabadiliki haongei wala nini analala uchi hata mchana ila hataki nimguse nikawa natoa hela za chakula ila sipewi chochote zaidi ya msosi siku ya 4 nikaaga nikaondoka zangu mpaka sasa sielewi.
YANI ANALALA UCHI HALAFU UNALALAMIKA HUJAPEWA CHOCHOTE?

Halafu ukitoka hapo unapost “Fear Women”



CC: Carlos The Jackal
 
Je
1. Ulikuwa na ndevu ukanyoa?
2. Mda mfupi.ambao hamjaonana umepata uwaraza?
3. Umefuga mustach wakati kipindi mnafahamiana hukuwa nao?

Umejarib kumuliza nini kinamsumbua? kama umemkosea?

Niko vile vile sana nimekuwa na afya njema sana kwa sasa
 
Dunia ina visa hii, kwani huyo mdada wakati ukiishi nae mwanzo hakuwahi kuonesha dalili zozote za kuwa na mapepo?

Hakuwahi alikuwa na nidhamu tu ya kawaida
 
Habarini,

Mwezi huu mwanzoni nilienda msibani Singida nikiwa uko nikamaliza kuzika kuna mdada nilikuwa naishi nae Dar akaenda Morogoro kwake kuishi na kutafuta maisha basi ikapita muda mpaka mwezi huu akaniomba niende kwake Moro na tulikuwa na mawasiliano mazuri tangu aondoke Dar sababu alienda kutafuta maisha.

Basi nilivyozika nikapanda basi kuelekea Moro nikafika nikapanda kwenda Kilombero nikafika nikapokelewa vizuri ila kuanzia usiku akabadiliki haongei wala nini analala uchi hata mchana ila hataki nimguse nikawa natoa hela za chakula ila sipewi chochote zaidi ya msosi siku ya 4 nikaaga nikaondoka zangu mpaka sasa sielewi.
Utoto mwingi.
 
Utoto mwingi.
Kijana anaabisha jinsia yake kwakweli..
255625350701_status_7fafc73d73da4235867a35fb9e58975a.jpg
 
Habarini,

Mwezi huu mwanzoni nilienda msibani Singida nikiwa uko nikamaliza kuzika kuna mdada nilikuwa naishi nae Dar akaenda Morogoro kwake kuishi na kutafuta maisha basi ikapita muda mpaka mwezi huu akaniomba niende kwake Moro na tulikuwa na mawasiliano mazuri tangu aondoke Dar sababu alienda kutafuta maisha.

Basi nilivyozika nikapanda basi kuelekea Moro nikafika nikapanda kwenda Kilombero nikafika nikapokelewa vizuri ila kuanzia usiku akabadiliki haongei wala nini analala uchi hata mchana ila hataki nimguse nikawa natoa hela za chakula ila sipewi chochote zaidi ya msosi siku ya 4 nikaaga nikaondoka zangu mpaka sasa sielewi.
Ana lala uchi ila anakunyima game?ila wewe jamaa ..bado sana
 
😅😅😅😅😅ulivyoenda ulipeleka zawadi?

Ukimgusa akikataa na we unaacha😅
 
hivi ndivyo wazee wa kataa ndoa wanavyopoteza mechi za ugenini
 
Sasa unalalaje na mwanamke yupo uchi na dushe limesimama usiku mzima bila kumpiga machine ...


Hivi wewe ni mwanaume kweli ,unanipa wasiwasi kabisa ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habarini,

Mwezi huu mwanzoni nilienda msibani Singida nikiwa uko nikamaliza kuzika kuna mdada nilikuwa naishi nae Dar akaenda Morogoro kwake kuishi na kutafuta maisha basi ikapita muda mpaka mwezi huu akaniomba niende kwake Moro na tulikuwa na mawasiliano mazuri tangu aondoke Dar sababu alienda kutafuta maisha.

Basi nilivyozika nikapanda basi kuelekea Moro nikafika nikapanda kwenda Kilombero nikafika nikapokelewa vizuri ila kuanzia usiku akabadiliki haongei wala nini analala uchi hata mchana ila hataki nimguse nikawa natoa hela za chakula ila sipewi chochote zaidi ya msosi siku ya 4 nikaaga nikaondoka zangu mpaka sasa sielewi.
Wewe jamaa upewe tuzo ya mjinga bora tangu mwaka uanze.
 
Back
Top Bottom