Kanikasirikia kisa sijaenda kulala kwake

Kanikasirikia kisa sijaenda kulala kwake

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Huyu mpenzi wangu sijui ana shida gani? Yuko na kazi zake kapanga mahala flani hivi. Kuanzia tuanze mahusiano ni mara chache tu ndio yeye huja kulala kwangu ila mara zote anataka mimi ndio nitoke niende kulala kwake.

Majuzi nilikuwa nae kwake, juzi pia nililala kwake, usiku wa kuamkia leo alitaka pia niende nikalale kwake nikamgomea na kumwambia kama vipi yeye aje kulala kwangu kanimaindi. Anasema eti simpendi kweli.

Asubuhi hii ameamka kajinunisha, nimemtext hakunijibu, nimempigia simu hakupokea nimepita ofisini kwake nimempa hi tu na kusepa zangu. Sa hivi anaanza nisumbua eti nitarudi saa ngapi amenimisi kweliiii.

Kwelii jamani kwa style hii tutafika mahala.

Cc Zero IQ

1626182187458.png

 
Sasa kama mpo huru namna hiyo si muugane tu mkatengeneze kambi moja?? Mie ilifkili kwako hakuingiliki labda kuna wife lakini kwa maelezo ya thread yako inaoywsha wote bado mko club ya makapela! Sasa hapo hukuna haja ya kutesana wakati pair ziko wazi, tena huyo ukizidi kumbania ujue umetoa upenyo kwa mchepuko!
 
You haven't loved someone yet! Mkuu unapenda mpk nzi akimtulia unaona wivu..[emoji1787]
[emoji16][emoji16] Haijawahi tokea kwa ukubwa huu ila ilikuwa kipindi kile niko kidato cha kwanza, tangu yule demu anisaliti nilipofika kidato cha pili sijawahi penda tena mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna upendo hapo nahis Kuna kitu kimekukalisha Ila sio upendo,ungekua unampenda Wala usingekuja humu kuuliza Kama mtafka maana ungeona kawaida
Kawaida kwa kuchukia bila sababu mkuu kweli, kama upendo wenyewe ndio huu mmh sidhani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom