Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Wadau,
Nina shemeji/wifi yenu ambae bado hatujafunga ndoa kutokana na ratiba kumbana kila mmoja wetu.
Mnamo mwezi Miezi ya hivi karibuni kumekua na harusi mbili zinazohusu watu wa ofisini, nami nimekua nikienda nae. Ukweli katika harusi zote hizo, staff wenzangu wamekua wakija peke yao harusini Na hata kufikia baadhi kunisema why naambatana nae kila mahali
Sasa leo tena kuna staff mwenzetu anaoa nami nimeamua nimtose kuepuka vijembe jumatatu ofisini. Toka saa 12 jioni meseji nazitumiwa na shemeji/wifi yenu huyu zinanichanganya sana, zilianza meseji za vitisho, zikaja Za maombi, kisha za lawama, sasa ni za maombi tena.
Hivi ni lazima niambatane nae kila harusi?? Staff wenzangu watanipiga vijembe kwani wao always huja "single"
Nina shemeji/wifi yenu ambae bado hatujafunga ndoa kutokana na ratiba kumbana kila mmoja wetu.
Mnamo mwezi Miezi ya hivi karibuni kumekua na harusi mbili zinazohusu watu wa ofisini, nami nimekua nikienda nae. Ukweli katika harusi zote hizo, staff wenzangu wamekua wakija peke yao harusini Na hata kufikia baadhi kunisema why naambatana nae kila mahali
Sasa leo tena kuna staff mwenzetu anaoa nami nimeamua nimtose kuepuka vijembe jumatatu ofisini. Toka saa 12 jioni meseji nazitumiwa na shemeji/wifi yenu huyu zinanichanganya sana, zilianza meseji za vitisho, zikaja Za maombi, kisha za lawama, sasa ni za maombi tena.
Hivi ni lazima niambatane nae kila harusi?? Staff wenzangu watanipiga vijembe kwani wao always huja "single"