ukiona hivyo ujue wife first..lol
zamu yako itafika tu...subra lol
Akuuuu!!!! mimi ninaye my Eiyer. Kwani wewe umefikiri ahadi gani?
Mimi nilimaanisha ahadi ya kunifuta kabisa moyoni mwako, ili niishi kwa Amani na my nyu lavu!
BT
Ni nini sasa hii???
Binamu yake anashiriki Miss Dar City Centre leo, so nimemruhusu aende huko akampe support, HATAKI!!!
ha ha haaa
you should try 'acting career'...lol
na huyu Eiyer huyu....nasubiri siku utakayom bwaga chini like hot potato lol
ha ha haaa
you should try 'acting career'...lol
na huyu Eiyer huyu....nasubiri siku utakayom bwaga chini like hot potato lol
Dua la kuku hilo kijana,utakaa sana!
Hata mimi hujaniona?
Mambo?
BT,
Tunachukua meza moja Kama familia moja from ofisini.
Story tunazopiga zinaendana, pia tunajuana na tumezoeana.
Hata utani mbalimbali tunataniana pia.
Ila katika sisi wanane, mmoja sio mwenzetu bali mwenzangu tu. Hajawazoea waliobaki, wala nao hawajamzoea pia.
Hawamtanii wala hawatanii pia.
Yuko bored nao, so labda atachezea simu muda wote, au aniongeleshe mimi anaenijua.
Ni nini sasa hii???
Binamu yake anashiriki Miss Dar City Centre leo, so nimemruhusu aende huko akampe support, HATAKI!!!
sasa staffs wenzio wanaingia vipi na 'mkataba wa kwako na mwenzio'?
usipoenda nae ana haki ya kulalamika
1 anaweza kuona unamuona 'anakuabisha' mbele za watu
2. au una mwingine unaenda nae,hasa staff mwenzio wa kike
kama ni mke mtarajiwa 'muombe samahani na uende nae'
ukiuugua atakuuguza huyu au utaita staffs wenzi wakuuguze?
Mmeniudhi
nimeamua kutowaona kabisa
na sitawaona mwaka wote huu.
sasa staffs wenzio wanaingia vipi na 'mkataba wa kwako na mwenzio'?
usipoenda nae ana haki ya kulalamika
1 anaweza kuona unamuona 'anakuabisha' mbele za watu
2. au una mwingine unaenda nae,hasa staff mwenzio wa kike
kama ni mke mtarajiwa 'muombe samahani na uende nae'
ukiuugua atakuuguza huyu au utaita staffs wenzi wakuuguze?
The Boss jumapili huwa una busara!
Sir.Burn umenidisappoint, kumbe wewe bado unaishi jinsi watu wanavyotaka?
Jiweke upande wake, anaenda party wewe wataka kwenda naye halafu yeye akukatalie just because wakaka wa ofisini wanamtania. Kua basi!
Mwambie mwaya, yaani wameniandama kweli hao. Dawa yao ni ndogo tu, tuzidishe mapenzi tu; unaonaje sweetie?
why should you be bothered na vijembe vya ofisini? it is not their goddamn business who you come to the party with... au mkuu huwa unatoa mchango wa 'single' halafu mnazamia double?