Kanikosea, kisha kanifikisha mahakamani..

Kanikosea, kisha kanifikisha mahakamani..

Superfly

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
985
Reaction score
2,066
Wakuu... Hv mtu akikushtaki Halafu hafiki mahakami siku za hukumu, kisheria naweza kuchukua hatua gani? Kwasababu ni kupotezeana muda tu.
 
Wakuu... Hv mtu akikushtaki Halafu hafiki mahakami siku za hukumu, kisheria naweza kuchukua hatua gani? Kwasababu ni kupotezeana muda tu.
Sasa hiyo hukumu si usomwe tu hata yeye bila kuwepo Mahakamani,kuna shida gani,au huyo mlalamikaji ndiyo Yuko na Jalada la kesi Nyumbani kwake!!?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu... Hv mtu akikushtaki Halafu hafiki mahakami siku za hukumu, kisheria naweza kuchukua hatua gani? Kwasababu ni kupotezeana muda tu.
Kuwa mpole, hakimu atafuta, akishafuta unaweza mfungulia kesi
 
Usiombe kupelekana mahakamani.
Unaweza kuharibu mipango yako mingi sana.kuna jamaa aligombana na mwenzake mkoa x wakapelekana mahakamani kesi sasa kimbembe jamaa kahamishwa kikazi inabidi siku ya kesi kutoka mkoa mwengine kuja mkoa x kusikiliza kesi.
 
Sasa hiyo hukumu si usomwe tu hata yeye bila kuwepo Mahakamani,kuna shida gani,au huyo mlalamikaji ndiyo Yuko na Jalada la kesi Nyumbani kwake!!?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hv inawezekana ikasomwa bila wahusika wote kuwepo? Sio wataipiga calendar hadi siku nyingne?
 
Kakushitaki kwa kosa gani?
Huyu mtu alipewa pesa, sasa kalipa nusu tu, iliyobaki anatamka kwa Jeuri kuwa hatailipa, Ulitokea mzozo mkubwa sana siku hio

Sasa kesho yake kunakucha mtu kashajitanguliza polisi kuwa ametukanwa sana na ametishiwa kutolewa uhai.. kitu ambacho si sahihi
 
Usiombe kupelekana mahakamani.
Unaweza kuharibu mipango yako mingi sana.kuna jamaa aligombana na mwenzake mkoa x wakapelekana mahakamani kesi sasa kimbembe jamaa kahamishwa kikazi inabidi siku ya kesi kutoka mkoa mwengine kuja mkoa x kusikiliza kesi.
Yaan mpaka hapa mambo yashaanza kuyumba, badala ya kwenda kutafta pesa, mtu unaanza kureport kituoni kesi yenyew hata haieleweki
 
Back
Top Bottom