Kanipiga na mwiko nikimuuliza kwa nini! Eti alikuwa ananiamsha msosi tayari

Kanipiga na mwiko nikimuuliza kwa nini! Eti alikuwa ananiamsha msosi tayari

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Wakuu poleni na majukumu na harakati za kusaka tonge ili mikono iingie kinywani.

Hivi wakuu, huyu beki tatu nimfanye nini, katika harakati za mizungiko yangu nikarudi zangu home wakati nimepumzika chini ya mwembe kwenye mkeka kwa bahati mbaya nikapitiwa na usingizi, sasa wakati msosi umeiva maza akamtuma beki tatu kamwamshe kaka yako aje ale, sasa yule beki tatu kaja na mwiko akanipiga nao hadi alama ikabaki kwenye upaja.

Vipi wakuu nimfanye nini?
 
Jibu unalo mwenyewe.... Kwenye upaja? Hadi alama imebaki..... Kwamba paja lilikuwa wazi au.....
 
Wakuu poleni na majukum.. na harakati za kusaka tonge ili mikono iingie kinywani!!
Hivi wakuu huyu beki tatu nimfanye nini!!katika harakati zaizungiko yangu nikarudi zangu home wakati nimepumzika chini ya mwembe kwenye mkeka kwa bahati mbaya nikapitiwa na usingizi!sasa wakati msosi umeiva maza akamtuma beki tatu!!kamwamshe kakayako aje ale!sasa yule beki tatu kaja na mwiko akanipiga nao hadi alama ikabaki kwenye upaja!!vp wakuu nimfanye nini!!
wanakufunza ustaarabu ongea lugha ya kiungwana ama sivyo utaendelea kuchapwa
 
Mm hiyo kauli eti "mwanaume wa dar" mbona nyie wa mikoani mnajishusha hazi sana!!
 
Bado unahemea kwa wazazi tu mkuu, hebu amka unatutia aibu bhana
 
Wakuu poleni na majukumu na harakati za kusaka tonge ili mikono iingie kinywani.

Hivi wakuu, huyu beki tatu nimfanye nini, katika harakati za mizungiko yangu nikarudi zangu home wakati nimepumzika chini ya mwembe kwenye mkeka kwa bahati mbaya nikapitiwa na usingizi, sasa wakati msosi umeiva maza akamtuma beki tatu kamwamshe kaka yako aje ale, sasa yule beki tatu kaja na mwiko akanipiga nao hadi alama ikabaki kwenye upaja.

Vipi wakuu nimfanye nini?

Mkuu beki tatu unayemzungumzia hapa ni yule uliyempa kichapo akazima au mwingine? Alafu mbona huwa hamleti mrejesho?



https://http-www-jamiiforums-com.0...._id_internal=925946837445621;AfoM3Hge3XNwiDoj
 
Mkuu hua sikai kwa mama ila naendaga kula tuu ila kulala nina gheto langu mtaa wa pili!!
 
Kumbee ndo maana thread zako ni za kitoto toto!
 
Kitoto kivipi sasa mkuu[emoji134] [emoji134]
 
Wakuu poleni na majukumu na harakati za kusaka tonge ili mikono iingie kinywani.

Hivi wakuu, huyu beki tatu nimfanye nini, katika harakati za mizungiko yangu nikarudi zangu home wakati nimepumzika chini ya mwembe kwenye mkeka kwa bahati mbaya nikapitiwa na usingizi, sasa wakati msosi umeiva maza akamtuma beki tatu kamwamshe kaka yako aje ale, sasa yule beki tatu kaja na mwiko akanipiga nao hadi alama ikabaki kwenye upaja.

Vipi wakuu nimfanye nini?
Anakutaka huyo ingawa zikuhamasishi uwe mzinzi
 
Haki ya mungu ni kweli kama umeotea vile maana tangu aje anakaa vibaya vibaya ule mda naenda kula anajiachiaaaa kweli
 
Mi wa hapahapa stendi kwani vipi mkuu!!
 
Back
Top Bottom