I need translation!
Jamani my love aliondoka bila kuniaga akarudi na kunieleza sababu za kuto aga na kuapolojaiz na kunieleza taka nyingi but nikamuelewa, mapenzi yakawa moto mara 3 nikasafiri na yeye akasafiri tuliporudi akaniambia niachane nae... Japo kanipunguzia mzigo because alikuwa dependant lakini sijamuelewa hata! Au ana mapepo? Nisaidien because alivyorudi alikuwa analia...
Ndugu yangu mungu akupe nini? Umepunguziwa mzigo katika Dunia hii iliyojaa Taabu na mateso, Unataka nini tena? Kahaba limeondoka shukuru mungu!!!!
Jamani my love aliondoka bila kuniaga akarudi na kunieleza sababu za kuto aga na kuapolojaiz na kunieleza taka nyingi but nikamuelewa, mapenzi yakawa moto mara 3 nikasafiri na yeye akasafiri tuliporudi akaniambia niachane nae... Japo kanipunguzia mzigo because alikuwa dependant lakini sijamuelewa hata! Au ana mapepo? Nisaidien because alivyorudi alikuwa analia...
Jamani my love aliondoka bila kuniaga akarudi na kunieleza sababu za kuto aga na kuapolojaiz na kunieleza taka nyingi but nikamuelewa, mapenzi yakawa moto mara 3 nikasafiri na yeye akasafiri tuliporudi akaniambia niachane nae... Japo kanipunguzia mzigo because alikuwa dependant lakini sijamuelewa hata! Au ana mapepo? Nisaidien because alivyorudi alikuwa analia...