Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

Sijawahi kumuona au kumsikia mwanaume mpumbavu kama wewe
 
Hapo umenikomesha mwenyewe ujue! ukweli ni kwamba kwa mama J huchomoki!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Eti majasmine wangu..
 
Ah mkuu anyway tuishi tu mapenzi yenu yana mitego mingi na Sana'a kibao but yote kwa yote mnajuana vizuri yarlekea.

Kifupi tuendelee tu na pirika zetu za mikeka vp siku hz unatumia kampuni gani mzee au bado upo na 1vbet?
 
...Utoto Raha Sana!!....
 
Mama j alikuwa ana beep fire, Kakutana na kichwa kibovu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Halafu bado unajiuliza kwa nini wanaume wanakufa kabla ya wake zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…