Kaniruhusu nikanunue kahaba aniridhishe. Nimenunua kweli, sasa analalamika

Mmmh hivi mke wako anapata saangapi unyumba? Maana wewe kutwa na wanawake tofauti na mkeo
 
Mi mwanaume wangu umuandikie hizo texts za matusi ya kumtukana hivyo, texts ndefu ndefu hivyo, texts za kashfa hivyo!'
EHEHEHHEHEHHEHHEE
 
Mi mwanaume wangu umuandikie hizo texts za matusi ya kumtukana hivyo, texts ndefu ndefu hivyo, texts za kashfa hivyo!'
EHEHEHHEHEHHEHHEE
Ww unajua kupigania penzi lako, uishi sana
 
Huwa najiuliza iwapo mkewe sio mwanamke kwa kiwango hiki anaishi nae wa nn?
Mume wa aina hii kweli mmmh!
Yani hana remorse, wala haoni ni aina yamaisha yanampotezea mali, wakati na kumkosesha amani na familia!
UNDER NO CIRCUSTAMNCE MKEWE ANA FURAHA huyu baba!
Akiwepo numbani mawazo ni kwa mama j na rose
akienda kwa rose hampi papa anavotaka
akienda kwa mama j anampasua kichwa kama hivi.

Huyu mtu lazima kichwa kisiwe na utulivu wa kuwa na furaha na mkewe.
na haiitaji yani!
na mke yuko huko anasema ameolewa!
yupo busy na maji ya mwamposa kuombea kipato cha mume.
nyieeee , tuna kazi sana wanawake.
 
Ww unajua kupigania penzi lako, uishi sana
Kila mtu anajua chaka lake mwaya.
Wangu nikimuandikia text za kumkashifu hivyo hakyamama!
Sio kuwa hatuongei matusi, ila hatutukanani yani.
Unajua kuna matusi na kutukana?
Siwezi muandikia mwanaume anayenikaza texts za aina hii mimi!
Hata awe ameniudhi vipi
mxxxxxieee
 
Huenda akiishiwa mkwanja ndo atatulia na mkewe au akipata magonjwa atauguza mkewe
 
Nipe location ya bar na mi niende nikatest mitambo
 
Wakuu, naomba mtu anipe summary ya hii stor kwa ufupi. Asanteni
 
Dah![emoji848]
 
Dah![emoji848]
Kuna namna nikisoma stories zako namfikiria sana mkeo.
Hakuna namna nyie wawili mnaweza kuwa na furaha pamoja.
Sio nia yangu kukuhukumu, mi mwenyewe nna mambo meusi kibao.
Natizama tu uhalisia wa hiki unachoandika, sioni mahali uko happy na mkeo wala your intimacy life.
Haupo yani.
Sex life haimuhusishi mkeo as in anything.
Sijui lakini,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…