Kanisa Anglican lampongeza Rais Trump kwa kuifutia Misaada Africa, ladai Viongozi wa Afrika wamedumaa kwa kuomba omba!

Kanisa Anglican lampongeza Rais Trump kwa kuifutia Misaada Africa, ladai Viongozi wa Afrika wamedumaa kwa kuomba omba!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kanisa Anglican la Africa limepongeza Uamuzi wa Rais Trump wa Marekani kulifutia Bara la Africa misaada yote

Akizungumza nchini Kenya askofu mkuu wa Anglican church amesema Omba Omba imewalemaza Kabisa Viongozi wa Africa ambao wanauza Rasilimali zao Kwa mikataba ya hasara huku wakitegemea kulisha Wananchi Wao Kwa Kodi za Wamarekani

Source: Citizen TV
 
Kanisa Anglican la Africa limepongeza Uamuzi wa Rais Trump wa Marekani kulifutia Bara la Africa misaada yote

Akizungumza nchini Kenya askofu mkuu wa Anglican church amesema Omba Omba imewalemaza Kabisa Viongozi wa Africa ambao wanauza Rasilimali zao Kwa mikataba ya hasara huku wakitegemea kulisha Wananchi Wao Kwa Kodi za Wamarekani

Source: Citizen TV
Ni ishara watu hawana imani na jinsi pesa zinavotumiwa na viongozi wa umma. Hakuna aliyesikitishwa ila ni kupongeza tu
 
Screenshot_20250206-084206_X.jpg
 
Na mimi naunga mkono hoja, wacha tuonje chungu ndiyo tutatia akili ya kuwakataa viongozi wanaofanya ubadhirifu wa rasilimali na kodi zetu. Serikali ya CCM ina matumizi ya anasa kuliko hata serikali za nchi zinazotufadhili. Upuuzi kama huu hapa chini ndiyo unaopelekea wazungu watucheke na kutuona mafala kwa kukumbatia serikali za kidhalimu kama serikali ya CCM
 

Attachments

  • Screenshot_20241116-162911.jpg
    Screenshot_20241116-162911.jpg
    173 KB · Views: 2
Kanisa Anglican la Africa limepongeza Uamuzi wa Rais Trump wa Marekani kulifutia Bara la Africa misaada yote

Akizungumza nchini Kenya askofu mkuu wa Anglican church amesema Omba Omba imewalemaza Kabisa Viongozi wa Africa ambao wanauza Rasilimali zao Kwa mikataba ya hasara huku wakitegemea kulisha Wananchi Wao Kwa Kodi za Wamarekani

Source: Citizen TV
Kanisa lenyewe Anglican kenya hiyo imani ya kianglikana wameiomba toka uingereza
 
Kanisa Anglican la Africa limepongeza Uamuzi wa Rais Trump wa Marekani kulifutia Bara la Africa misaada yote

Akizungumza nchini Kenya askofu mkuu wa Anglican church amesema Omba Omba imewalemaza Kabisa Viongozi wa Africa ambao wanauza Rasilimali zao Kwa mikataba ya hasara huku wakitegemea kulisha Wananchi Wao Kwa Kodi za Wamarekani

Source: Citizen TV
Fake news.
 
Kanisa Anglican la Africa limepongeza Uamuzi wa Rais Trump wa Marekani kulifutia Bara la Africa misaada yote

Akizungumza nchini Kenya askofu mkuu wa Anglican church amesema Omba Omba imewalemaza Kabisa Viongozi wa Africa ambao wanauza Rasilimali zao Kwa mikataba ya hasara huku wakitegemea kulisha Wananchi Wao Kwa Kodi za Wamarekani

Source: Citizen TV
Nitaenda Narobi kuabudu kanisani kwa mchungaji huyu huku nikimwombea Nzee Trumpet.
 
Kanisa Anglican la Africa limepongeza Uamuzi wa Rais Trump wa Marekani kulifutia Bara la Africa misaada yote

Akizungumza nchini Kenya askofu mkuu wa Anglican church amesema Omba Omba imewalemaza Kabisa Viongozi wa Africa ambao wanauza Rasilimali zao Kwa mikataba ya hasara huku wakitegemea kulisha Wananchi Wao Kwa Kodi za Wamarekani

Source: Citizen TV
Mungu Wabariki Wazungu
 
Kanisa Anglican la Africa limepongeza Uamuzi wa Rais Trump wa Marekani kulifutia Bara la Africa misaada yote

Akizungumza nchini Kenya askofu mkuu wa Anglican church amesema Omba Omba imewalemaza Kabisa Viongozi wa Africa ambao wanauza Rasilimali zao Kwa mikataba ya hasara huku wakitegemea kulisha Wananchi Wao Kwa Kodi za Wamarekani

Source: Citizen TV
These are stupid, wao wanaomba omba kwa waumini, si waanzishe miradi ya kujuhudumia?
 
Back
Top Bottom