CC KKKTKanisa Anglican la Africa limepongeza Uamuzi wa Rais Trump wa Marekani kulifutia Bara la Africa misaada yote
Akizungumza nchini Kenya askofu mkuu wa Anglican church amesema Omba Omba imewalemaza Kabisa Viongozi wa Africa ambao wanauza Rasilimali zao Kwa mikataba ya hasara huku wakitegemea kulisha Wananchi Wao Kwa Kodi za Wamarekani
Source: Citizen TV
Waambie na sisi tunaacha kutoa sadakaKanisa Anglican la Africa limepongeza Uamuzi wa Rais Trump wa Marekani kulifutia Bara la Africa misaada yote
Akizungumza nchini Kenya askofu mkuu wa Anglican church amesema Omba Omba imewalemaza Kabisa Viongozi wa Africa ambao wanauza Rasilimali zao Kwa mikataba ya hasara huku wakitegemea kulisha Wananchi Wao Kwa Kodi za Wamarekani
Source: Citizen TV
Kanisa Anglican la Africa limepongeza Uamuzi wa Rais Trump wa Marekani kulifutia Bara la Africa misaada yote
Akizungumza nchini Kenya askofu mkuu wa Anglican church amesema Omba Omba imewalemaza Kabisa Viongozi wa Africa ambao wanauza Rasilimali zao Kwa mikataba ya hasara huku wakitegemea kulisha Wananchi Wao Kwa Kodi za Wamarekani
Source: Citizen TV
Kweli aisee, kama "MATONYA'.Kanisa Anglican la Africa limepongeza Uamuzi wa Rais Trump wa Marekani kulifutia Bara la Africa misaada yote
Akizungumza nchini Kenya askofu mkuu wa Anglican church amesema Omba Omba imewalemaza Kabisa Viongozi wa Africa ambao wanauza Rasilimali zao Kwa mikataba ya hasara huku wakitegemea kulisha Wananchi Wao Kwa Kodi za Wamarekani
Source: Citizen TV
😆😂🤣👍Kama kuna MTU ana email ya trump atuwekee hapa tumpe salami za pongezi
Dini zote ni za kuletewa, tunaojitambua kwa kuenzi imani zetu za kiafrika ni wachache sana.Kanisa lenyewe Anglican kenya hiyo imani ya kianglikana wameiomba toka uingereza
Kuna wengine huku ni kununua maV8, na kupitisha miswada ya kuwalipa wenzi wa viongozi wastaafu 60%ya mishahara per month. Ndo ujue viongozi wetu wanavyotumia raslimali vibaya halafu kesho yake wanatembeza bakuli kuomba misaada.Ni ishara watu hawana imani na jinsi pesa zinavotumiwa na viongozi wa umma. Hakuna aliyesikitishwa ila ni kupongeza tu
Wako sawa. Nchi ina matatizo mengi na umasikini uliokithiriKanisa lenyewe Anglican kenya hiyo imani ya kianglikana wameiomba toka uingereza