maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Toeni tamko basi muelezee yote. Au kifo cha mtoto siyo kitu?Halafu ishu sio jamaa ni Paroko au sio Paroko kwasababu yeye ni binadamu na siku zote binadamu hajakamilika kwahiyo ishu ya kuwa Paroko au sio Paroko HAINA MASHIKO. Waliasi Malaika Mbinguni sembuse Binadamu bhana
Kwa nini asiweze ??
Acha ligi za kitoto wewe padri wa mosho mbona alishafutiwa tuhuma zoteNdivyo mlivyo pumbazwa na viongozi wenu wa dini hao wajinga?
Yule padri aliyebaka mtoto kule moshi mnajifanya mmesahau?
Acheni ushenzi wa kutetea mapadri wenu wapumbavu.
Mnataka kuficha ukweli kwa ufafanuzi uchwara hapa.
Wadau humu wanamkana eti sio ..haya basi ni imamu ...🤣🤣🤣
Sasa kama mnajua sio perfect ni binadamu kama wengine na wanAweza tenda dhambi kwanini mnaungama kwaoAnaweza kuwa sio padre kwa asilimia mia ila haimaanishi kuwa mapadre ni wasafi sana, wao pia ni wadhambi na wanaweza fanya dhambi yoyote shetani hachagui wewe ni nani au una cheo kipi kama Imani yako ni nyembamba atapita tu na wewe
Haya mkuu Mraibu amesimamishwaUmeisoma vizuri hiyo sms ya pili na kuielewa au nawe unakurupuka tu?
Na mleta mada nae anataka kulazimisha iwe vile atakavyo wakati sms ya pili inajieleza vizuri tu, "mraibu aliyechukuliwa na paroko ili asaidiwe"
Swali lako halina uelekeo wowote yaani halina lengoSasa kama mnajua sio perfect ni binadamu kama wengine na wanAweza tenda dhambi kwanini mnaungama kwao
Wewe hata Padri akibaka mkeo au kulawiti mtoto wako bado uta mtetea padri.Acha ligi za kitoto wewe padri wa mosho mbona alishafutiwa tuhuma zote
Wewe ni atheistWewe hata Padri akibaka mkeo au kulawiti mtoto wako bado uta mtetea padri.
Dini zilisha pumbazwa hizo akili zenu.
Yeah.Wewe ni atheist
Kwisha habari yako.Yeah.
Ndio maana nikakwambia wewe hata Padri akibaka mkeo au kulawiti mtoto wako bado uta mtetea paroko.Kwisha habari yako.
Naona unafatilia hili suala kishabaiki.
Ngoja tusubiri uchunhuzo wa polisi.
Mm sijawahi padre muuaji.
Kama una ushahidi leta
Tusubiri uchunguzi mkuu.Ndio maana nikakwambia wewe hata Padri akibaka mkeo au kulawiti mtoto wako bado uta mtetea paroko.
Dini zilisha pumbaza akili zenu.
Uchunguzi ushakamilika na watuhumiwa ndio haohao waliotajwa.Tusubiri uchunguzi mkuu.
Hili tukio la mtoto Asimwe ni baya kuliko
WEWE FAZA ACHA HIZOUchunguzi ushakamilika na watuhumiwa ndio haohao waliotajwa.
Unataka uchunguzi gani tena?
Mtu kuwa Padri haimaanishi kwamba hawezi kufanya uovu na kuvunja sheria.WEWE FAZA ACHA HIZO
JE INAJUWA KUHUSU MOTIVE? HUYO PADRE ALIKUWA NA MOTIVE GANI?