Kanisa katoliki litalipa dola za kimarekani zipatazo millioni 166 kwa watu walio ingiliwa na mapadre wakati wakiwa watoto wadogo na wakiishi katika himaya za kanisa. Wengi wa watu hawa ni wananchi wa marekani wajulikanao kama wahindi wekundu ambao kanisa lilikua likisema linawasaidia kwa mashule na malezi. Habari hizi za kusikitisha zilizosababishwa na mapadre waliopotoka zinaendelea kujitokeza na kuharibu jina zuri la kanisa katoliki.
Cha kushangaza ni kua hii fidia ya mamilioni ya dola inatoka kwenye mfuko wa sadaka na zaka ambao waumini wa kanisa hilo hutoa kwa moyo wa kidini.
http://www.boston.com/news/nation/articles/2011/03/26/jesuit_order_to_pay_abuse_victims_166m/?p1=Well_MostPop_Emailed4
Swali kubwa la kujiuliza ni Je inawezekana mambo haya yametokea hapa Tanzania ? Uwezekano kua mambo haya pia yametokea hapa ni mkubwa sana ukichukulia kuwa watoto wadogo wengi walikua wakipewa mafundisho na upendo katika seminari mbali mbali hapa nchini. Ni muhimu kuwahimiza watu wajitokeze ili jambo hili pia lijadiliwe hapa na lizikwe. sababu utakuta watu hao walio chezewa wakiwa wadogo hawana raha au amani katika mioyo yao mpaka watakapo ona mambo yamejadiliwa. pia inawezekana bado yanaendelea katika hizo seminari.
Cha kushangaza ni kua hii fidia ya mamilioni ya dola inatoka kwenye mfuko wa sadaka na zaka ambao waumini wa kanisa hilo hutoa kwa moyo wa kidini.
http://www.boston.com/news/nation/articles/2011/03/26/jesuit_order_to_pay_abuse_victims_166m/?p1=Well_MostPop_Emailed4
Swali kubwa la kujiuliza ni Je inawezekana mambo haya yametokea hapa Tanzania ? Uwezekano kua mambo haya pia yametokea hapa ni mkubwa sana ukichukulia kuwa watoto wadogo wengi walikua wakipewa mafundisho na upendo katika seminari mbali mbali hapa nchini. Ni muhimu kuwahimiza watu wajitokeze ili jambo hili pia lijadiliwe hapa na lizikwe. sababu utakuta watu hao walio chezewa wakiwa wadogo hawana raha au amani katika mioyo yao mpaka watakapo ona mambo yamejadiliwa. pia inawezekana bado yanaendelea katika hizo seminari.