Kanisa la ajabu misungwi mwanza limefungwa huku makaburi yakitafutwa

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Mchungaji huyu mwenye upako Kama yule Mackenzie wa Kenya anayelaza wagonjwa zaidi ya miambili kwa gharama za elfu sitini akiwa na wagonjwa mahtuti waliotoroka mahospitalini amekamatwa na kanisa kufungwa.

Wagonjwa wamerudishwa hospitalini na wengine kuamliwa kuondoka huku taharuki ya makaburi ikienea na polisi kuamliwa kuchunguza kwa amri ya mkuu wa wilaya misungwi .

Mchungaji huyu alikuwa na vichumba vya kulaza Hulu ikidaiwa Kuna watumishi wa afya walihusika na ishu hii


USSR
 
Ulokole umekua kero ya taifa, na hili linatokea kwasbb raia wengi hawana elimu na ni masikini.
 
Unataka kututoa kwenye DP na TPA
 
makanisa ya mwisho haya afu yanajifanya yanaitwa ya Walokole daah Mungu atuepushie sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…