OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kanisa la Anglikana Tanzania limetoa tamko zito kupinga msimamo wa Anglican England kuhusu ushoga na ndoa za jinsia moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hili sio jambo jipya, hakuna mafundisho au mahubiri kanisani yanayoacha kukemea uzinzi.Kemeeni na Uzinzi pia
Hapo ndio nitawaona kuwa kweli wapo serious. Sio wanaengemea upande mmoja tuuKemeeni na Uzinzi pia
Acheni ubabaishaji Uzinzi na mkuduzi ni kitu kimoja mnafanya mkuduzi na wanawake then mnaibuka na kupinga ushogaMkuu hili sio jambo jipya, hakuna mafundisho au mahubiri kanisani yanayoacha kukemea uzinzi.
Hiyo ni Part ya Uzinzi.Kemeeni na Uzinzi pia
Wanaume walioa ndo namba moja kula mkunduzi mfano Mimi hapa sifanyi Uzinzi na sili mkuduzi maana vyote uchafuzi tuNawakemee wale wa kandaa ndoa ndo wengi wao n mashoga wanapigwa miti hatareeee 😫😫😫😫
Ss utakuwa unaishi vipi kama mtu hali lazima uliweWanaume walioa ndo namba moja kula mkunduzi mfano Mimi hapa sifanyi Uzinzi na sili mkuduzi maana vyote uchafuzi tu
Thawa thawaAsante Yesu Sifa Kwa Yesu.
Ushoga na Ukemewe Kwa nguvu zote.
Tayari walishachelewa sana kuhusu jambo hili. Kama ni Kansa basi tayari ilishasambaa mwili mzima, uwezekano wa kupona haupo tena.
Kanisa la Anglikana Tanzania limetoa tamko zito kupinga msimamo wa Anglican England kuhusu ushoga na ndoa za jinsia moja.