Lol Lucifer our Lord.Anglican nalo ni kanisa? Hilo ni moja ya magenge ya kishetani duniani. Wanabidili nini kwenye maandiko kama si kuleta ushetani? Yaani wanataka Mungu asiitwe MUNGU BABA? Sasa ile sala ya baba yetu uliye mbunguni jina lako litukuzwe itasomekaje? Makundi kama haya ya kishetani duniani ni mengi kila mara huja na mabadiliko ya mafundisho. Lipo kundi kubwa linaongoza dunia na lenyewe linafanya mabadiliko ya sala zake. Hilo kundi kubwa linaelekea kuyaunganisha makundi mengine ili wawe pamoja waje na utaratibu mpya wa kumuabudu mungu
Uzuri sasa makanisa yako mengi muumini akiona hili lina ujinga anahama anahamia kwingineSonodi kuu ambayo ndio kamati ya juu kabisa ya kanisa hilo duniani inamalizia mchakato wa kutohusisha Mungu na njisia yoyote ili kuleta usawa wa kijinsia, kamati hiyo inamaanisha kuwa kutumia neno la kumaanisha Mungu ni wa kiume pekee haileti ulinganifu
Hivi karibuni kanisa hilo lilitangaza kuwaombea msamaha watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kwa kutokukubaliwa humo kanisani hapo zamani ni limetangaza kuwaruhusu wapenzi wa jinsia moja kufunga ndoa kanisa japo kwa sasa wanaweza kubalikiwa tu.
BBC Swahili
USSR
Kama Kuna Mungu baba hata Mungu mama Kuna uwezekano akawepoUzuri sasa makanisa yako mengi muumini akiona hili lina ujinga anahama anahamia kwingine
Mwanaume ndie aliumbwa kwanza na mwanaume Mwenzie Mungu babaKama Kuna Mungu baba hata Mungu mama Kuna uwezekano akawepo
Hizo ni fikra tuKama Kuna Mungu baba hata Mungu mama Kuna uwezekano akawepo
Achana na hizo hekaya za wajinga wa kale.Hizo ni fikra tu
.Yesu mtoto wa Kiume mwanae Mungu akipokuja duniani akimtambua Mungu kama Mungu baba sio Mungu Mama hata mitume walipomuomba awafindishe kusali aliwaambia salini sala ya Baba yetu semeni hivi anzeni kwa kusema Baba yetu ukiye Mbinguni .Hakusema ombeni kwa kusema Mama yetu uliye mbinguni
Ndio maana makanisa mengi ya ki protestant wakisali hawamuombi Mama Maria kama wakatoliki Yesu alituagiza tusaki tumuombe baba yake aliye mbinguni sio Mama yake Bikira Maria
Wanafunzi aliwafundisha kuomba kwa baba yake sio Mama yake
Kwa hiyo hakuna cha Mungu mama aliye Mbinguni tunamuomba Mungu baba aliye mbinguni
Huyo Mungu mama wako hayuko kwrnye Biblia na Yesu hakutufunza kuhusu huyo Mungu mama
Hata kabla kupaa alisema napaa kwenda kwa baba sio kwa mama yake
Biblia imeandikwa kaleAchana na hizo hekaya za wajinga wa kale.
Kwa kuwa ni taasisi ya kibinadamu ya Kiingereza/Kifalme,ACHA waoteSonodi kuu ambayo ndio kamati ya juu kabisa ya kanisa hilo duniani inamalizia mchakato wa kutohusisha Mungu na njisia yoyote ili kuleta usawa wa kijinsia, kamati hiyo inamaanisha kuwa kutumia neno la kumaanisha Mungu ni wa kiume pekee haileti ulinganifu
Hivi karibuni kanisa hilo lilitangaza kuwaombea msamaha watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kwa kutokukubaliwa humo kanisani hapo zamani ni limetangaza kuwaruhusu wapenzi wa jinsia moja kufunga ndoa kanisa japo kwa sasa wanaweza kubalikiwa tu.
BBC Swahili
USSR
Hizo ni fikra tu
.Yesu mtoto wa Kiume mwanae Mungu akipokuja duniani akimtambua Mungu kama Mungu baba sio Mungu Mama hata mitume walipomuomba awafindishe kusali aliwaambia salini sala ya Baba yetu semeni hivi anzeni kwa kusema Baba yetu ukiye Mbinguni .Hakusema ombeni kwa kusema Mama yetu uliye mbinguni
Ndio maana makanisa mengi ya ki protestant wakisali hawamuombi Mama Maria kama wakatoliki Yesu alituagiza tusaki tumuombe baba yake aliye mbinguni sio Mama yake Bikira Maria
Wanafunzi aliwafundisha kuomba kwa baba yake sio Mama yake
Kwa hiyo hakuna cha Mungu mama aliye Mbinguni tunamuomba Mungu baba aliye mbinguni
Huyo Mungu mama wako hayuko kwrnye Biblia na Yesu hakutufunza kuhusu huyo Mungu mama
Hata kabla kupaa alisema napaa kwenda kwa baba sio kwa mama yake
Yaani safari hii Kanisa la Anglican litafutika nchi zote duniani libaki tu huko uingereza wabaki na Mungu mama waoKwahiyo Sasa ile Kwa jina la baba na la Mwana na la roho mtakatifu hakuna tena?
Hapo Anglican watakuwa wamejiondowa kwenye Ukristo, hilo si kanisa la Kristo tena Bali la Freemason.
Msingi wa Ukristo ni utatu mtakatifu, Baba, Mwana na roho mtakatifu, Sasa kama wanamuondowa Baba hilo siyo kanisa la Kristu.
Illuminati.