Kanisa la EAGT rudisheni makanisa yenu yote mlikotokea TAG. Mnaichosha Serikali na migogoro yenu isoyoisha

Kanisa la EAGT rudisheni makanisa yenu yote mlikotokea TAG. Mnaichosha Serikali na migogoro yenu isoyoisha

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Katika kanisa linaloongoza sasa hivi kwa migogoro ya wenyewe kwa wenyewe ni EAGT.

Inaonyesha kabisa hawawezi kujisimamia kutwa kusumbua Serikali na msajili.

Hilo kanisa la EAGT walitokea Kanisa la TAG .Kule TAG kuna utulivu mkubwa na hakuna migogoro

Kanisa la EAGT rudisheni makanisa yenu yote mlikotokea TAG ambako kuna utulivu na ukomavu wa kiuongozi mnaichosha serikali na migogoro yenu isoyoisha.

Nawasihi viongozi wote EAGT wanaogombana humo Kuanzia Askofu mkuu wa EAGT na makundi yake na ya akina Mwaisabila na makundi yake na makundi mengineyo yaliyomo EAGT wakae wakubaliane makanisa yote warudishe TAG waendeshe chini ya TAG ambako kuna uongozi mkomavu na uliotulia nchi nzima.

EAGT mnalitia aibu kanisa na kusumbua Serikali.
 
Katika kanisa linaloongoza sasa hivi kwa migogoro ya wenyewe kwa wenyewe ni EAGT

Inaonyesha kabisa hawawezi kujisimamia kutwa kusumbua Serikali na msajili.

Hilo kanisa la EAGT walitokea Kanisa la TAG .Kule TAG kuna utulivu mkubwa na hakuna migogoro

Kanisa la EAGT rudisheni makanisa yenu yote mlikotokea TAG ambako kuna utulivu na ukomavu wa kiuongozi mnaichosha serikali na migogoro yenu isoyoisha

Nawasihi viongozi wote EAGT wanaogombana humo Kuanzia Askofu mkuu wa EAGT na makundi yake na ya akina Mwaisabila na makundi yake na makundi mengineyo yaliyomo EAGT wakae wakubaliane makanisa yote warudishe TAG waendeshe chini ya TAG ambako kuna uongozi mkomavu na uliotulia nchi nzima

EAGT mnalitia aibu kanisa na kusumbua Serikali
Warudi tag watapata wapi sadaka..unataka wapauke kwa ugumu wa maisha.

Acha waendelee kugawanyika ili injili iendelee kusambaa zaidi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Katika kanisa linaloongoza sasa hivi kwa migogoro ya wenyewe kwa wenyewe ni EAGT

Inaonyesha kabisa hawawezi kujisimamia kutwa kusumbua Serikali na msajili...
Hizi Pentecostal churches hakuna kanisa wala kuabudu. Wanachojuwa ni kelele na kukusanya sadaka baada ya kuwatapeli waumini wao wenye FRUSTRATION. Hakuna mtu mwenye maisha yaliyonyooka anaabudu huko.

Kila muumini akipata vijisenti anafungua kabisa lake. Kwa hiyo makanisa yao yako linked na individuals. Moses Kulola kwa mfano alikufa jaribu ufuatilie uangalie kama bado kanisa lake lipo
 
Warudi tu kwenye dini yao ya asili kabla hawajawa wapendekoste. Nadhani kwenye asili yao ya Imani hakuna migogoro
 
Kundi la mwaisabila si wameshasajili Kanisa jingine, au bado halijazinduliwa, likizinduliwa tu mgogolo umekwisha.
Mgogoro wa Mali utaanza tena

Mali ni za EAGT hawatakiwi kuondoka nazo wakiondoka wenyewe sawa

Ndio maana nikasema wanaichosha Serikali na mahakama na migogoro yao
 
Mgogoro wa Mali utaanza tena

Mali ni za EAGT hawatakiwi kuondoka nazo wakiondoka wenyewe sawa

Ndio maana nikasema wanaichosha Serikali na mahakama
Hakuwezi kuwa na mgogolo, maaskofu wengi walijitenga na hawakuchukua chochote, wao walichukua Nini toka TAG? lakini wamoravian na juzi KKKT konde utaratibu ni uleule, ukihama unaondoka Kama ulivyo, hakuna mgogolo
 
Hakuwezi kuwa na mgogolo, maaskofu wengi walijitenga na hawakuchukua chochote, wao walichukua Nini toka TAG? lakini wamoravian na juzi KKKT konde utaratibu ni uleule, ukihama unaondoka Kama ulivyo, hakuna mgogolo
EAGT kuondoka TAG kuliibuka migogoro ya mali.

Sasa tena Tutarajie migogoro mingine.tena ya mali sababu wataka kujitenga watataka kuondoka na mali za EAGT

Ndio maana nasema wanaichosha Serikali na mahakama wana behave kama wapagani
 
Kule kwa akina Bagonza nako huwa hakutulii wakati ni kanisa la zamani na lenye misingi mizuri tu. Sijui hata tatizo huwa ni nini.

Hawa walokole wa TAG sijui EATG hata wakigombana haishangazi sana maana ni vurugu mechi kila mtu na lwake...
 
Mgogoro wa Mali utaanza tena

Mali ni za EAGT hawatakiwi kuondoka nazo wakiondoka wenyewe sawa

Ndio maana nikasema wanaichosha Serikali na mahakama na migogoro yao
Kama kanisa lenyewe lina watu wa hovyo wa aina yako unat3gemea nini?
 
Back
Top Bottom