YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Katika kanisa linaloongoza sasa hivi kwa migogoro ya wenyewe kwa wenyewe ni EAGT.
Inaonyesha kabisa hawawezi kujisimamia kutwa kusumbua Serikali na msajili.
Hilo kanisa la EAGT walitokea Kanisa la TAG .Kule TAG kuna utulivu mkubwa na hakuna migogoro
Kanisa la EAGT rudisheni makanisa yenu yote mlikotokea TAG ambako kuna utulivu na ukomavu wa kiuongozi mnaichosha serikali na migogoro yenu isoyoisha.
Nawasihi viongozi wote EAGT wanaogombana humo Kuanzia Askofu mkuu wa EAGT na makundi yake na ya akina Mwaisabila na makundi yake na makundi mengineyo yaliyomo EAGT wakae wakubaliane makanisa yote warudishe TAG waendeshe chini ya TAG ambako kuna uongozi mkomavu na uliotulia nchi nzima.
EAGT mnalitia aibu kanisa na kusumbua Serikali.
Inaonyesha kabisa hawawezi kujisimamia kutwa kusumbua Serikali na msajili.
Hilo kanisa la EAGT walitokea Kanisa la TAG .Kule TAG kuna utulivu mkubwa na hakuna migogoro
Kanisa la EAGT rudisheni makanisa yenu yote mlikotokea TAG ambako kuna utulivu na ukomavu wa kiuongozi mnaichosha serikali na migogoro yenu isoyoisha.
Nawasihi viongozi wote EAGT wanaogombana humo Kuanzia Askofu mkuu wa EAGT na makundi yake na ya akina Mwaisabila na makundi yake na makundi mengineyo yaliyomo EAGT wakae wakubaliane makanisa yote warudishe TAG waendeshe chini ya TAG ambako kuna uongozi mkomavu na uliotulia nchi nzima.
EAGT mnalitia aibu kanisa na kusumbua Serikali.