Kanisa la mlima wa moto linapatikana wapi kwa Dar?

Ocran

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2017
Posts
1,045
Reaction score
1,365
Habari wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavyojieleza nataka kwenda kusali jumapili hii kwenye ilo kanisa.
 
Ngoja mwanajukwaa yoyote anaejua atuelekeze.
 
Mnakwenda Kujibu Maombi Ya Waolewaji
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…πŸ˜†
Haya Maisha Yatakwenda Kasi
 
Mnakwenda Kujibu Maombi Ya Waolewaji
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji28][emoji38]
Haya Maisha Yatakwenda Kasi
[emoji2][emoji2]maombi yamejibiwa.
 
[emoji2][emoji2]maombi yamejibiwa.
Bwana Ametenda Kwa Wakati Wake
Watu Waolewe Na Upepo Wa Kisulisuli
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…
Pastor Noma
 
Liko Mikochenii
Naona Upepo Wa KISULISULI umeanza Kuvuta watu Kutoka Pande Zotee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…