Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,604
- 1,430
Hivi kwanini kanisa hili la sasa ni masikini kwa kuangalia maishaya waumini wake wengi, tofauti na la zamani? Leo hii walalahoi wengi ndiyo wenye dini, utawakuta huko Wakristo kwa wingi wao na Waislamu kwa wingi wao. Ipi shida?
Je, ni kweli ufalme wa mbinguni unatekwa na wenye nguvu, na akina Elon Musk wameshauteka? Inasikitisha unaingia kusali unaona kwa kuangalia tu kuwa hali za maisha ya waumini haziridhishi. Roho inauma sana.
Yaani kanisa la leo hasa la Afrika ni ajabu sana, halina watu wengi mashuhuri na wenye nguvu. Kanisa la Kiafrika la leo halina hata tajiri wake mmoja maarufu, wengi ni atheists na wakristo kwa majina tu. Hii aibu.
Zamani kanisa lilikuwa na watu wenye nguvu.
Manaeni - Huyu alikuwa ndugu wa kunyonya wa Mfalme Herode, kwa leo tungesema mdogo wa Rais au kaka.
Melkizedeck - Alikuwa Mfalme na Kuhani wa Mungu aliyejuu sana, alikuwa tajiri wa kutupwa. Kwa leo tungesema ni Rais badala ya Mfalme.
Timotheo - Alikuwa daktari bingwa na maarufu.
Kwa mifano hiyo michache naona mmepata mwanga kdogo wa concept yangu.
Shida ni nini? Inawezekana kumuomba Mungu Mkuu pasipo dini?
Je, ni kweli ufalme wa mbinguni unatekwa na wenye nguvu, na akina Elon Musk wameshauteka? Inasikitisha unaingia kusali unaona kwa kuangalia tu kuwa hali za maisha ya waumini haziridhishi. Roho inauma sana.
Yaani kanisa la leo hasa la Afrika ni ajabu sana, halina watu wengi mashuhuri na wenye nguvu. Kanisa la Kiafrika la leo halina hata tajiri wake mmoja maarufu, wengi ni atheists na wakristo kwa majina tu. Hii aibu.
Zamani kanisa lilikuwa na watu wenye nguvu.
Manaeni - Huyu alikuwa ndugu wa kunyonya wa Mfalme Herode, kwa leo tungesema mdogo wa Rais au kaka.
Melkizedeck - Alikuwa Mfalme na Kuhani wa Mungu aliyejuu sana, alikuwa tajiri wa kutupwa. Kwa leo tungesema ni Rais badala ya Mfalme.
Timotheo - Alikuwa daktari bingwa na maarufu.
Kwa mifano hiyo michache naona mmepata mwanga kdogo wa concept yangu.
Shida ni nini? Inawezekana kumuomba Mungu Mkuu pasipo dini?