Kanisa la Ufufuo na Uzima lifutwe, kimekuwa ni kichaka cha kupika majungu

Kanisa la Ufufuo na Uzima lifutwe, kimekuwa ni kichaka cha kupika majungu

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Askofu anajificha kwenye kanisa akijidai anaongea na wanawe, lakini kupitia kanisa amekua akitoa shutuma nzito kwa serikali na watu.

Kwa kumbukumbu zangu aliwai kumsema vibaya mkuu wa mkoa wa Arusha na kumuita mtoto wa dawa kisa kapiga marufuku makanisa kupiga kelele usiku.

Kupitia kanisa lake hilo alimshambulia kardinari Pengo

Alitumia kanisa hilo hilo kutoa shutuma kwa Paul Makonda aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar

Sasa hivi kanisa ilo ilo linatumika kuwananga viongozi wa kiserikali akiwemo mheshimiwa Rais,

Shutuma zinatokea madhabahu ya nisa kuwa viongozi wamepewa hongo kuingiza chanjo,

Baadhi ya viongozi wamepigwa chanjo feki

Chanjo itatuua baada ya miaka miwili

Mimi nafikiri ni wakati sasa wa hili kanisa lifutwe maana sadaka ndizo zinatoa kiburi kwa watumishi uchwara
 
Waumini wake wanaongea kwa kujiamini na kumsifia baba yao, eti baba! Kulikoni? Misukule inayofufuliwa inakaa wapi? Jamaa anajua kuwateka watu kiakili mpaka kanunua helicopter.
 
Hujakosea mkuu ni kweli kabisa hili kanisa limekua tatizo miaka na miaka.
 
Kwa nini usishughulike na mtu badala ya kanisa. Aliyesema ni askofu na wala siyo kanisa
lazima ushugulike na mtu pamoja na Rasilimali zake zote
 
Sisemi kwamba namuunga mkono lakini kwa upande mwingine huwa yupo sawa. Tatizo ni pale anapokuja na lake basi huwa mnashindwa kumjibu kwa hoja mnaishia kubwabwaja tu na matamko yasiyokuwa na mashiko.

Gwajima anajua jinsi ya kuwafanya mka dance kwenye tunes zake.
 
Muangalie na huyu kashajaa nyembe, povu kalitolee pale Ubungo,,huku unapoteza muda🤣🤣
 
Wenge litawaua ndugu zangu tulieni majumbani kwenu hizi ligi zinawenyw
 
Askofu anajificha kwenye kanisa akijidai anaongea na wanawe, lakini kupitia kanisa amekua akitoa shutuma nzito kwa serikali na watu.

Kwa kumbukumbu zangu aliwai kumsema vibaya mkuu wa mkoa wa Arusha na kumuita mtoto wa dawa kisa kapiga marufuku makanisa kupiga kelele usiku.

Kupitia kanisa lake hilo alimshambulia kardinari Pengo

Alitumia kanisa hilo hilo kutoa shutuma kwa Paul Makonda aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar

Sasa hivi kanisa ilo ilo linatumika kuwananga viongozi wa kiserikali akiwemo mheshimiwa Rais,

Shutuma zinatokea madhabahu ya nisa kuwa viongozi wamepewa hongo kuingiza chanjo,

Baadhi ya viongozi wamepigwa chanjo feki

Chanjo itatuua baada ya miaka miwili

Mimi nafikiri ni wakati sasa wa hili kanisa lifutwe maana sadaka ndizo zinatoa kiburi kwa watumishi uchwara
Wewe inakuuma nini? Aliyefanhiwa offence akafungue charge, tatizo lilko wapi? Kama ni majungu unayo wewe. Majungu hayaongelewagwi hadharani.
 
Sio Gwajima tu haya makanisa ya kilokole yakiendelea kuendekezwa na hii serikali yatakuja kuleta madhara makubwa sana .
 
Badala ya kumjibu kuwa kazi ya chanjo ni nini? Ikiwa aliechanjwa anaweza kuambukiza na kuambukuzwa nyie mnawaza kufuta kanisa, Kweli Dunia haishiwi vituko na uonevu
 
Back
Top Bottom