Kamigakiku
Member
- Feb 11, 2018
- 8
- 5
Samahani wana jukwaa kuna simulizi niliwahi kuisoma ila sikumbuki niliisoma wapi.
Simulizi hiyo inahusu kanisa moja huko ulaya lenye Chumba maalum kwaajili ya Couple inayotaka kujitenga, couple hiyo hupewa chumba kicho chenye kitanda kidogo shuka moja, sufuria sahani kijiko na kikombe kimoja na hutakiwa kuishi hapo kwa muda fulani.
Kama kuna mtu anaifahamu hiyo habari naomba kama anaweza kuielezea hapa kiundani au anipe link ya kwenda kuisoma vizuri. Asanteni sana.
Simulizi hiyo inahusu kanisa moja huko ulaya lenye Chumba maalum kwaajili ya Couple inayotaka kujitenga, couple hiyo hupewa chumba kicho chenye kitanda kidogo shuka moja, sufuria sahani kijiko na kikombe kimoja na hutakiwa kuishi hapo kwa muda fulani.
Kama kuna mtu anaifahamu hiyo habari naomba kama anaweza kuielezea hapa kiundani au anipe link ya kwenda kuisoma vizuri. Asanteni sana.