mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Tofauti yake na leo ni kuwa Maskini wa kwanza ni kiongozi wa kanisa 🤣 ambaye anawapanga waumini wake wamchangie mambo yake yaende ili aendelee kuwapigia story za kiimani 😁 akiwaaminisha wamefungwa ila watafunguliwaLeo nimewiwa mno kulitafakari kanisa la zamani, la enzi za akina Petro na Paulo.
Paulo anakiri wazi, "Yesu Kristo alikuwa masikini, ili sisi tuwe matajiri".
Paulo aliongoza michango MINGI kutoka kwa waumini wale MATAJIRI, ili kuwachangia/kuwainua waumini MASIKINI. Leo hii haya mbona hayaonekani kwenye haya makanisa ya kileo?
Hakuna jitihada zozote za kuwakwamua masikini, pesa zinakwenda wapi?
Daaah!Tofauti yake na leo ni kuwa Maskini wa kwanza ni kiongozi wa kanisa 🤣 ambaye anawapanga waumini wake wamchangie mambo yake yaende ili aendelee kuwapigia story za kiimani 😁 akiwaaminisha wamefungwa ila watafunguliwa
Napata uhakika zaidi kuwa ukiacha RC, vikanisa vyote hivi vingine, ni miradi ya watu binafsi.Pesa zinatajirisha wachungaji na kuimarisha taasisi (kampuni) ambazo ni madhehebu...maskini hana chake kanisani, hakuna anaemjali zaidi ya kuzidi kukamuliwa.
Imetosha, kama kuwakamua masikini wameshawakamua sana.MATENDO YA MITUME 10:1-5
KIFUNGU KIMOJA AMBACHO MANABII WAMCHONGO HAWAKISOMI KAMWE
Nani hao?Walikuwa wanajitafuta sasa washajipata shida ya nini?
Hakuna cha RC wala nini, yote ni miradi ya watu...lini uliskia kanisa lolote linafanya mikakati ya kuwainua maskini ndani ya kanisa? mara kadhaa ktk biblia, Yesu alisisitiza sana utoaji kwa wasiojiweza, yatima na wajane, je, ni mara ngapi umesikia wachungaji wakisisitiza utoaji zaidi kwa makundi hayo?Napata uhakika zaidi kuwa ukiacha RC, vikanisa vyote hivi vingine, ni miradi ya watu binafsi.
Soma tittleNani hao?
Okay!Soma tittle
Utakuta mchungaji anamiliki gari la thamani na nyumba Kali lakini waumini wamechoka hatari, wachungaji wa kileo ni wabinafsi sanaPesa zinatajirisha wachungaji na kuimarisha taasisi (kampuni) ambazo ni madhehebu...maskini hana chake kanisani, hakuna anaemjali zaidi ya kuzidi kukamuliwa.
Wanao ongoza haya makabisa ya leo wamejiita wenyewe ndiyo maana wanajali malengo yao. Hawawajali wahitaji katika mahitaji yao. Inafikirisha sana.Leo nimewiwa mno kulitafakari kanisa la zamani, la enzi za akina Petro na Paulo.
Paulo anakiri wazi, "Yesu Kristo alikuwa masikini, ili sisi tuwe matajiri".
Paulo aliongoza michango MINGI kutoka kwa waumini wale MATAJIRI, ili kuwachangia/kuwainua waumini MASIKINI. Leo hii haya mbona hayaonekani kwenye haya makanisa ya kileo?
Hakuna jitihada zozote za kuwakwamua masikini, pesa zinakwenda wapi?
Nakushauri kabla ya kuandika mwone mchungaji ambaye ana uelewa wa kutosha wa theolojia atafsiri Hilo andiko. Kwa lugha ya kitheolojia huwa tunaita huko na kulishwa matango. Si afiki wanaofanya huduma kwa masilahi yao binafsi, ila Hilo andiko litumike vizuri. Lakini pia utafiti ufanyike vya kutosha Ni madhehebu mangapi ambayo yanafanya upuuzi huo. Na ukifuatilia Sana Ni machache Sana, ambayo kwenye utafiti tungetoa jibu that there is no signifance difference, then we reject the hypothesis that wachungaji wanatafuta maslahi binafsiLeo nimewiwa mno kulitafakari kanisa la zamani, la enzi za akina Petro na Paulo.
Paulo anakiri wazi, "Yesu Kristo alikuwa masikini, ili sisi tuwe matajiri".
Paulo aliongoza michango MINGI kutoka kwa waumini wale MATAJIRI, ili kuwachangia/kuwainua waumini MASIKINI. Leo hii haya mbona hayaonekani kwenye haya makanisa ya kileo?
Hakuna jitihada zozote za kuwakwamua masikini, pesa zinakwenda wapi?
Kifungu hicho kinasomwa vizuri sana kuhimiza watu watoe sadaka.MATENDO YA MITUME 10:1-5
KIFUNGU KIMOJA AMBACHO MANABII WAMCHONGO HAWAKISOMI KAMWE