Kanisa liliwaalika Ruto na Gachagua Kwenye Misa moja Lakini Rais Ruto hakutokea, Gachagua asema hii yaweza kuwa Jumapili yake ya Mwisho kama DP!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Naibu Rais mh Gachagua amesema endapo Seneti itakubaliana na Bunge juu ya kumuondoa Madarakani basi huenda Leo Ndio Jumapili ya Mwisho yeye kuingia kanisani akiwa Naibu Rais

Gachagua aliwaeleza Waumini wa Kanisa Moja Takatifu katika Ibada ambayo Rais Ruto ilikuwa ahudhurie Lakini hakutokea

Source: Citizen TV

Mlale Unono 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…