Elections 2010 Kanisa Uchwara Lapokea Pesa Chafu za Fisadi Rostam


Evidence please
 
Ningekuwa muumini wa kanisa hilo ningekoma kusali na kuabudu dhehebu hilo.mi nasikilizia kama Mkuu wa kanisa hilo atatoa tamko kuhusiana na jambo hilo vinginevyo dhehebu hilo la FPCT wanasapoti mafisadi. DR.SLAA daima


" Mara tupotezapo misingi ya maadili tunakoma kuwa watu wa dini.kamwe dini haiwezi kuwa juu ya maadili.binadamu kwa mfano hawezi kuwa fisadi kama Rostam,muongo kama kikwete,katili kama lowasa mnafiki kama wakuu wa hilo kanisa na hapo hapo akadai MUNGU yuko upande wako"
 
Hii ishu imenigusa sana. Rostam kawapa hiyo hela na wakashindwa kumzuia kuigeuza ibada yao kuwa jukwaa la kisiasa kwa kueneza uzushi dhidi ya chadema. Namwona Rostam kama mtu mgumu sana kufikiri, ishu za umwagaji damu si zishajibiwa? Akamalizia kwa kuwaomba waumini wasiichague chadema. Ujasiri huo anautoa wapi?
 
Ngoja nicheke kidogo, halafu niulize, wamepokea pesa au mawazo yake ya kifisadi? pesa ni za watanzania sio zao, so hata wakipewa wanachukua what they deserve which was stolen somewhere sometime, tatizo ni kama zina masharti, vipi hilo kanisa kama wamezikataa nileteeni mimi, hata Mtikila nae alizichukua na akamjijia juu huyu muheshimiwa. Chukueni za kwetu hizo mtumishi, nawakilisha
 
Iyo ela aliitoaje?
Kama sadaka au alinunua kitu au alimtuma mtu?
Try to substantiate please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…