Kanitumia nauli, sijaenda

Kanitumia nauli, sijaenda

Nimemkomesha. Kanitumia nauli akajua ntaenda mi sijaenda. Ananipigia sipokei. Akiendelea nampiga block
Dah...Safi sana... endelea hivyohivyo. Tunasubiri Uzi mwingine zaidi[emoji2960]
 
Soon dawa yako ipo jikoni. Usione wale gunia 2 za mkaa,risasi 3 za kifua,mapanga 8 ya kichwa,ukafikiri mambo yalianzia kwa shetani. Yalianza mdogo mdogo kama unavyotaperi hivi. Usifikiri mabaharia wanatulia tu wakiibiwa
 
Back
Top Bottom