Kanitumia nauli, sijaenda

Nimemkomesha. Kanitumia nauli akajua ntaenda mi sijaenda. Ananipigia sipokei. Akiendelea nampiga block
Dah...Safi sana... endelea hivyohivyo. Tunasubiri Uzi mwingine zaidi[emoji2960]
 
Soon dawa yako ipo jikoni. Usione wale gunia 2 za mkaa,risasi 3 za kifua,mapanga 8 ya kichwa,ukafikiri mambo yalianzia kwa shetani. Yalianza mdogo mdogo kama unavyotaperi hivi. Usifikiri mabaharia wanatulia tu wakiibiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…