wanandugu, nimefurahi sana na JF doctor forum jinsi watu wanavyotoa maelezo mbalimbali ya afya.
ninaomba mwenye maelezo yakinifu kama ya MziziMkavukuhusu kuzuia ugonjwa wa kansa ya kibofu cha mkojo (prostate cancer) hasa kwa kutumia njia na vitu vya asili tulivyo navyo katika mazingira yetu (including lifestyle) naomba atujuze.
natanguliza shukrani