Ahsante ndugu nitafanya hivyo pia.Sikusoma uzi wako wote, ila dawa nilokupa ni dwa ya maajabu usipuuzie, nakupa ya kutibu kidonda pia. Nimeshatibu watu wa vidonda ndugu. Mm sio tabibu na dawa xangu nazitoa bure kabisa.
Chukua pembe la ng'ombe and usiondoe kitu chochote, chukua aloevera ikaushe, weka na chumvi kidogo sana, pembe la ngombe lichimbie tu chini then lifukie usifukie lilaishia ama ukiweza tengeneza kama tanuru la kuchomea mkaa. Kama utachimbia basi weka moto juu yake hadi liwe jeusi kama mkaa na aloevera fanya hivo then saga na blender huo mchanganyiko hadi uwe fine dust.
Utakuwa unampaka mgonjwa ukiweza changanya na mafuta ya nazi ama ya ng'ombe yaan samli ili kidonda kisikauke sana.
Kansa asili yake ni hypertension kwenye mfumo wa Seli,CHEMOTHERAPY haiwezi kukuponya KANSA, inakuongezea KANSA. Ni kama unajibanika kwenye TANURU LA MOTO.
Achana na CHEMOTHERAPY, angalia chakula chake cha kila siku ni chakula gani?
Kama una akili timamu, ungelima hapo bustani upande mchicha mwingi ambao hauna MAKEMIKALI, pamoja na KAROTI, hiyo iwe FIRST AID yake.
MAUCHAFU kwenye damu yake pia, SUMUU, UTANDO, MUCUS, afanye namna ya kuondoa yote hayo. DAMU CHAFU.
PAMBANA SANA, ATAPONA KAMA UNA AKILI TIMAMU.
Ukiendelea na MAKEMIKALI na hizo CHEMOTHERAPY utamuangamiza.
Mkuu ushauri utakuwa mzuri zaidi kuliko masimangoCHEMOTHERAPY haiwezi kukuponya KANSA, inakuongezea KANSA. Ni kama unajibanika kwenye TANURU LA MOTO.
Achana na CHEMOTHERAPY, angalia chakula chake cha kila siku ni chakula gani?
Kama una akili timamu, ungelima hapo bustani upande mchicha mwingi ambao hauna MAKEMIKALI, pamoja na KAROTI, hiyo iwe FIRST AID yake.
MAUCHAFU kwenye damu yake pia, SUMUU, UTANDO, MUCUS, afanye namna ya kuondoa yote hayo. DAMU CHAFU.
PAMBANA SANA, ATAPONA KAMA UNA AKILI TIMAMU.
Ukiendelea na MAKEMIKALI na hizo CHEMOTHERAPY utamuangamiza.
Pole sanaYapata miaka miwili imepita tangu mke wangu alipogundulika ana saratani ya matiti, tulianza dozi ya CHEMOTHERAPY pale GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL Ifakara, tulipatiwa jumla ya mizunguko 8 ya CHEMO, hali ilionekana kuwa nzuri ila ndani ya muda mfupi sana uvimbe ulianza tena.
Baada ya kuona uvimbe umeanza upya tulihamia Dodoma BENJAMIN MKAPA napo tulipatiwa chemo 4 kisha ukafanyika upasuaji ili kuondoa titi lililoathirika na saratani, upasuaji amefanya mwezi wa 4 mwaka huu.
Baada ya upasuaji hali ilionekana kama ipo vizuri, ila baada ya miezi ipatayo mi3 mgonjwa ameanza kusumbuliwa tena.
Anasumbuliwa na; MAUMIVU MAKALI SANA MAHALA ALIPOFANYIWA UPASUAJI
KIDONDA KISICHOPONA (kilianza kidogo sana, kama kiji upele, hatimae kikakua. Hakionyeshi dalili ya kupona.
Najua yote ni mipango ya Mungu, ila sina matumaini kama mke wangu anaweza kupona kwa sasa.
KUNA MTU ASHAWAHI KUUGUZA MGONJWA WA SARATANI naomba ushuhuda ambao unaweza nisaidia cha kufanya.
KAMA KUNA DAWA ZA TIBA MBADALA ULITUMIA ZIKASAIDIA, NAOMBA MSAADA PIA.
Kwa sasa mgonjwa yupo tu nyumbani tunasubiri neema ya Mungu
Ushauri wowote pia napokea.
Tatizo MAKANJANJA mpo wengi sana humu lazima niwapige nondo za kisogo kwanza kabla sijatoa ushauri.Mkuu ushauri utakuwa mzuri zaidi kuliko masimango
Eti kama una akili…
Kwani shida yako ni nini kwa huyu mtu khe
Si uache kumshauri kama anakukera
Muone huruma huyu kwa kuuguliwa kwanza..
Moyo wa tunda wa stafeli, linaliwa kawaida au linasagwa juice,Kisha majani ya mstaferi,parachichi,mlimao,mchungwa na mchai chai yanachemshwa bila kutia Radha yoyote mgonjwa anakunywa asub jion kama chai yake mfululizo mwezi mmoja ukiambatana na moyo wa stafeli! Inasaidia piaPole sana brother na Mungu akutie nguvu, niliwahi kusikia sehemu kuwa tunda la stafeli lina msaada mkubwa sana kwa wagonjwa wa saratani.
1. Aache kula nyamaMuda wa ushauri umewadia mkuu.
Samahani mkuu, mtu mwenye umri gani yupo kwenye hatari ya kupatwa na huu ugonjwa?Pole sana kaka..!kiukweli maradhi hayo yakimpata mtu aisee tena wa mama tena ziwa Bro!sikukatishi tamaa wala kukuvunja moyo juu mkeo.
NAKUPA USHUHUDA WA KWELI.
Dada angu alikua na na tatizo hilo na tulipita hatua hizo zote pale onceanroad,tulipambana vya kutosha rkn wapi hatima dadaangu amefari tar17/11/2023.kiukweli ogonjwa huo ni agharabu sana mtu kurudi ktk hari yake ya kawaida.kubwa ishinae kwa upendo mvumilie.kwa mola hakuna linaro shindika anaweza kumponya na kumuongoa mja wake.tuzidi kumuombe apone
Kuna mzee mmoja wa kuitwa Dr. Sebi alitolea ufafanuzi kuwa vyakula vya alkaline ni tiba kwa magonjwa mengi hasa saratani.SHukran sana mkuu.
Nilikuwa na hofu isijekuwa hivyo vyakula navyo tumedanganywa.
Hapa ndiyo jibu huku anapata hivyo vyakula na maombi tena kanisani sio kuita Mchungaji sijui Mtumishi nyumbani awe anaenda huko huko kanisani, Mungu ni mwenye rehema hashindwi na kitu akitaka kutukuzwa muujiza utafanyika tu.Mkuu pia nenda kwenye makanisa ya maombezi
Mpeleke kwenye maombi atapona, ila achana na wale wa mafuta sijui nn.
Napendekeza peleka kwa Mwakasege au Sumbe.
Nauhakika 100% atapona
Sent from my Pixel 3 using JamiiForums mobile app
Pole, lakini lazima NIKUAMBIE UKWELII.
Hiyo unayoiita TIBA MBADALA ndio TIBA HALISI, Mimea ya asili yenye nguvu ya kukuponya na kuhuisha mwili dhidi ya maradhi ya aina yoyote.
Hayo MAKEMIKALI ndio yalipaswa kuwa TIBA MBADALA. Ukishafeli kutumia MIMEA SAFI (kitu ambacho hakiwezekani) sasa ndio ukajijaze MAKEMIKALI MACHAFU na MIONZI.
Mkiambiwa MNABEZA, ooohh MIMEA NI UCHAWI! Haya sasa!!!!! Umerudi kule kule!!!
Oooohh, wewe hujui sayansi, wewe mchawiii!! Sayansi yenyewe ndio hiyo, umelipa MAMILIONI ukajazwa MIONZI LUKUKI mpaka mwili ukaharibika zaidi na zaidi.
Najua kuna MAKANJANJA watanivamia hapa, lakini sijali. MIMI NAPASUA UKWELI TU, tukana, bwata, lakini HABARI IMEFIKA.
Pole sana kaka na homgera kwq kumjali mkeo hio ndo kwa uzima na maradhi,wakati nipo South Africa nilipata Rafiki mswaziland alipata cancer ya maziwa ila alipona anasema alitumia majani ya mti was mstafeli anachemsha majani na kunhwa kama chai sukari asitumie kabisa pia Kuna mtu akaniambia majani ya bangi yanachemshwa na alcohol unapata mafuta marijuana oil unatia kwenye juice drops inatibu kajaribu bila kusahau uponyaji unatoka kwa Mungu muombe.namuomba Mwenyeezi Mungu ampe uponyaji mkeo.Yapata miaka miwili imepita tangu mke wangu alipogundulika ana saratani ya matiti, tulianza dozi ya CHEMOTHERAPY pale GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL Ifakara, tulipatiwa jumla ya mizunguko 8 ya CHEMO, hali ilionekana kuwa nzuri ila ndani ya muda mfupi sana uvimbe ulianza tena.
Baada ya kuona uvimbe umeanza upya tulihamia Dodoma BENJAMIN MKAPA napo tulipatiwa chemo 4 kisha ukafanyika upasuaji ili kuondoa titi lililoathirika na saratani, upasuaji amefanya mwezi wa 4 mwaka huu.
Baada ya upasuaji hali ilionekana kama ipo vizuri, ila baada ya miezi ipatayo mi3 mgonjwa ameanza kusumbuliwa tena.
Anasumbuliwa na; MAUMIVU MAKALI SANA MAHALA ALIPOFANYIWA UPASUAJI
KIDONDA KISICHOPONA (kilianza kidogo sana, kama kiji upele, hatimae kikakua. Hakionyeshi dalili ya kupona.
Najua yote ni mipango ya Mungu, ila sina matumaini kama mke wangu anaweza kupona kwa sasa.
KUNA MTU ASHAWAHI KUUGUZA MGONJWA WA SARATANI naomba ushuhuda ambao unaweza nisaidia cha kufanya.
KAMA KUNA DAWA ZA TIBA MBADALA ULITUMIA ZIKASAIDIA, NAOMBA MSAADA PIA.
Kwa sasa mgonjwa yupo tu nyumbani tunasubiri neema ya Mungu
Ushauri wowote pia napokea.
Acha ubishi we kanjanja wa Kenya! Hiyo mionzi ndiyo iliyomfikisha hapa, mwili wote umeoza kwa ajili ya moto wa mionzi.Steve Jobs na hela zake zote alijaribu tina mbadala akaepuka mionzi ila kaishia kuaga dunia.
Ni hatari sana ila pole kwa mleta mada, nashauri wajaribu Kanisa la maombezi.
Km haijaenea mwilini hua wanakata ziwa ili kuepusha isienee zaidi wao wanasemaje?Yapata miaka miwili imepita tangu mke wangu alipogundulika ana saratani ya matiti, tulianza dozi ya CHEMOTHERAPY pale GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL Ifakara, tulipatiwa jumla ya mizunguko 8 ya CHEMO, hali ilionekana kuwa nzuri ila ndani ya muda mfupi sana uvimbe ulianza tena.
Baada ya kuona uvimbe umeanza upya tulihamia Dodoma BENJAMIN MKAPA napo tulipatiwa chemo 4 kisha ukafanyika upasuaji ili kuondoa titi lililoathirika na saratani, upasuaji amefanya mwezi wa 4 mwaka huu.
Baada ya upasuaji hali ilionekana kama ipo vizuri, ila baada ya miezi ipatayo mi3 mgonjwa ameanza kusumbuliwa tena.
Anasumbuliwa na; MAUMIVU MAKALI SANA MAHALA ALIPOFANYIWA UPASUAJI
KIDONDA KISICHOPONA (kilianza kidogo sana, kama kiji upele, hatimae kikakua. Hakionyeshi dalili ya kupona.
Najua yote ni mipango ya Mungu, ila sina matumaini kama mke wangu anaweza kupona kwa sasa.
KUNA MTU ASHAWAHI KUUGUZA MGONJWA WA SARATANI naomba ushuhuda ambao unaweza nisaidia cha kufanya.
KAMA KUNA DAWA ZA TIBA MBADALA ULITUMIA ZIKASAIDIA, NAOMBA MSAADA PIA.
Kwa sasa mgonjwa yupo tu nyumbani tunasubiri neema ya Mungu
Ushauri wowote pia napokea.
Huyu maza yuko vizuri sanaPole sana mdau. Je level ya kinga ikoje? Cheki video za mwanamama anaitwa Barbara O’neil ana nondo nyingi unaweza kuambulia.