Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

Pole sana mkuu, tafuta majani ya mti wa stafeli (tope tope) chemsha mpe chai yake mara tatu mpaka nne kwa siku, kuna ushuhuda mkubwa sana kuwa imesaidia watu wengi, mmoja wapo ni mkwe wangu. Mpaka kaamua kupanda hiyo miti mingi shambani kwake kasema hatauza ni kwa ajili ya kisaidia tuu, embu jaribu kutumia tuone kama itafanya kama..
Mungu ni Mwema, mpe pole mpenzi wako
 
Bichwa komweUkitulia una madini sio poaa!

Nimeipenda hii
 
Pole sana.
Kuna mgonjwa nilimshuhudia alitumia mmea aina ya periwinkles unakuwa na maua ya pink na meupe unaoteshwa sana mashuleni. Alipona kabisa kansa ya kizazi na mwingine ya titi.
Maua yerusalemu wengine huyaita, karibia mashule yote ya msingi zamani yalioteshwa.
Google how periwinkles plants cure cancer.
Yeye alikuwa anang'olewa mmea kuanzia MIZIZI Yake na maua unaoshwa Kisha unachemshwa anakunywa glass Moja Kila baada ya masaa nane na alipona kabisa.
 
Ufumbuxi vipi hapo sasa
 
Ahsante sana ubarikiwe mkuu.

Hizo juis nachagua moja au inabidi kunywa zote kwa siku?
 
Pole sana kwa changamoto unayopitia mkuu. Mungu mwingi wa rehema akufanyie wepesi.

Kama ikiwezekana ondoa ziwa lote halafu apigwe mionzi mkuu. Saratani ya titi is very challenging and stubborn.

Natumaini Mungu atamponya mkeo kwa uwezo wa roho mtakatifu. Amina.
 
Alishasema kuwa alishakatwa
Ila hali ndio hivyo tena.
 
Hawa wachungaji wanao jitapa ku ponesha watu vipi
 
Pole sana mkuu, dada yangu aliteseka sana na kansa ya shingo ya kizazi alipofikia stage 3 mpaka mauti.

Kansa inapona ikiwa imewahiwa kwenye stage 1 kama alivyoiwahi kikwete.
Hata stage 2 inapona mkuu. Tatizo ikifika stage 3 na 4 ndio inakuwa shida. Dada yangu amepona cervical cancer kwa tiba ya mionzi ikiwa stage 2.
 
Alikoanzia kupata tiba si sehemu sahihi
GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL, hospital maalumu kwa ajili ya kansa ipo ifakara.

Benjamin mkapa napo clinic ya kansa ipo

Sijui sio sehem sahhihi kwa maana gan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…