Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL, hospital maalumu kwa ajili ya kansa ipo ifakara.

Benjamin mkapa napo clinic ya kansa ipo

Sijui sio sehem sahhihi kwa maana gan?
Kabla ya kumpa chemo. walitakiwa waanze na radiotherapy
 
Ahsante sana mkuu
 
Kwanza kabisa pole sana mkuu...... am going through the same issue

Hapo jambo la msingi ni ipo stage gani?
Kuna stage ikifika basi ni miujiza tu inatakiwa kwa Chemo na mionzi

Tiba mbadala zinatumika sana lakini so far hakuna ushahidi wowote kwamba zimewahi kumtibu mtu akapona.....
Unaweza kujaribu lakini kuna matapeli wengi sana na utatumia hela nyingi sana pia ila hakuna uhakika

Mtafute memba anaitwa Mzizikmavu anadai anajua tiba yake
 
Pole kwa unayopitia ndugu. Mungu akufanyie wepesi kwa kweli
 
Kuna namna ya kujua stage? Wakati tunaigundua kwa mara ya kwanza, mwanzo mwa mwaka 2022 walisema ni stage 2 or 3
 
Kuna namna ya kujua stage? Wakati tunaigundua kwa mara ya kwanza, mwanzo mwa mwaka 2022 walisema ni stage 2 or 3
Ndio mkuu kuna namna wanapima kujua ipo stage gani
Kuna stage 0 hadi stage 4

Stage zinatokana na namna ugonjwa ulivyo sambaa kutoka kwenye uvimbe katika nyonyo na kwenda kwenye sehemu zingine za mwili

Kadiri stage inavyozidi kuwa kubwa maana yake kansa imesambaa zaidi
Na kadiri stage inavyokua kubwa ndio ugumu wa matibabu unaongezeka

Stage 4 is almost haitibiki maana inakua imesambaa sana hadi kwenye organs hatari
 
Aisee

Kwa sasa tunasubiri miujiza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…