Wanachefua sana.
Watu wanamzungumzia mpaka kufuru wanafikia hata hatua ya kumuona au kumfananisha kama mungu mtu.
Watu kama hawa ni hatari sana hapa dunian.
Kwani yeye hakustahili kufa?? Ikiwa MUSA,YESU MUHAMED walikufa yeye kanumba asife kwan yey nani?