MimiNiMakini
Member
- Jun 19, 2022
- 7
- 20
Imetoka List ya Wasanii wenye Ushawishi mkubwa Barani Africa, Diamond ametokea pia kwenye List hiyo na Mbaya Zaidi amejisifu kwamba Bila yeye bendera ya Tanzania haitapepea tena kimataifa iwapo hasa atafariki.
Inachekesha Sana, Diamond ameshajikuta kwamba bila yeye mambo hayaendi, huu ni uongo.
Kanumba alifariki watu wakaongea sana kwamba Bongo Movie haitaendelea lakini wapi, angalia hivi sasa kuna series nyingi kali, waigizaji wakali, uwekezaji mzuri sana, Teknolojia kubwa sana, Hivi sasa Vyuoni watu wanasoma Filamu, Uigizaji.
Sasa Diamond ndio anajidanganya eti akifa ndio Muziki na Wasanii wa Bongo watashindwa kufika mbali, aisee anajidanganya sana, tena usikute yeye ndio anabania hata baadhi ya wengine Kushine, Ajaribu kufa hata wiki moja then afufuke aone yanayoendelea.
Alifariki ×××× watu wakasema Nchi haitaenda lakini wapi, mbona mambo yanaenda. Kiufupi siku hizi ule msemo kwamba Pengo Halizibiki haupo kabisa, Siku hizi kuna watu wengi wanajua vitu yani ukifa tu tukikuzika ndio basi tena mwingine anachukua nafasi.
Inachekesha Sana, Diamond ameshajikuta kwamba bila yeye mambo hayaendi, huu ni uongo.
Kanumba alifariki watu wakaongea sana kwamba Bongo Movie haitaendelea lakini wapi, angalia hivi sasa kuna series nyingi kali, waigizaji wakali, uwekezaji mzuri sana, Teknolojia kubwa sana, Hivi sasa Vyuoni watu wanasoma Filamu, Uigizaji.
Sasa Diamond ndio anajidanganya eti akifa ndio Muziki na Wasanii wa Bongo watashindwa kufika mbali, aisee anajidanganya sana, tena usikute yeye ndio anabania hata baadhi ya wengine Kushine, Ajaribu kufa hata wiki moja then afufuke aone yanayoendelea.
Alifariki ×××× watu wakasema Nchi haitaenda lakini wapi, mbona mambo yanaenda. Kiufupi siku hizi ule msemo kwamba Pengo Halizibiki haupo kabisa, Siku hizi kuna watu wengi wanajua vitu yani ukifa tu tukikuzika ndio basi tena mwingine anachukua nafasi.